Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,090
Baridi halihitaji uzoefu wifi, mimi dar naoga maji ya moto asubuhi sitaki ujinga kabisa ๐๐๐hii hii nlozaliwa nayo au nyingine ๐๐ siwezi iogopa mimi
Baridi halihitaji uzoefu wifi, mimi dar naoga maji ya moto asubuhi sitaki ujinga kabisa ๐๐๐hii hii nlozaliwa nayo au nyingine ๐๐ siwezi iogopa mimi
Unajua vile nakupenda sana uduguu ake!!!Nimeamka uduguu wangu, nilimpigia simu dada aje tulale wote. Nilihisi Israel yuko karibu.
Leo najisikia poa kiasi chake najua kufika mchana nitatoka nje kufanya mazoezi.
Ahsante kwa kujali coca wangu![]()




๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ pakitulia uje uselfikeUnajua vile nakupenda sana uduguu ake!!!![]()
Uduguuu leo naenda kwa ba tamu, ko kuanzia jion sitakua JF had J3 asubuhi.pakitulia uje uselfike



Kumekucha ๐๐๐Uduguuu leo naenda kwa ba tamu, ko kuanzia jion sitakua JF had J3 asubuhi.
![]()
mnawaonea sana ma hanithi wetu,,hujui ndo wanaotulia kwenye ndoa saiv๐๐๐hatariiii
Ghai ๐๐พ๐๐๐we ni wale wale hadi nyumba nyeusi unakujuaNaona baridi ya nyumbanitu inakupeleka vibaya...haya njoo upate supu ya ๐๐๐๐
๐๐๐๐We nawe sema ulipewa mashart na mganga wako hebu ukoooBaridi halihitaji uzoefu wifi, mimi dar naoga maji ya moto asubuhi sitaki ujinga kabisa ๐๐๐
Sasa unakuaje mkazi wa njombe na nyumbanitu hupajuiGhai ๐๐พ๐๐๐we ni wale wale hadi nyumba nyeusi unakujua
kamwene ve myangu ๐๐ila mimi sijawahi hata kufika napaskia tu,,na ndo naambiwa asili ya ukoo wetu ni hukoSasa unakuaje mkazi wa njombe na nyumbanitu hupajui
๐๐๐ Na kuna siku ntaoga msimbazi mchana kweupe ili niuze vijora vyangu, mana wateja mmekuwa wabishi kutuungisha๐๐๐๐We nawe sema ulipewa mashart na mganga wako hebu ukooo
Leo tunatoka woteee hapa bi mkubwa hapa mdogo๐Leo hutoki na bi mkubwa? ๐
Kamwene ulamwike yuve . Mahali senga dzilinga..?kamwene ve myangu ๐๐ila mimi sijawahi hata kufika napaskia tu,,na ndo naambiwa asili ya ukoo wetu ni huko
hao wavaa vijora sasa sio mimi,,mi na vijora wapi na wapi๐๐toka nimezaliwa ninacho kimoja na kaninunulia mama karibun tu apa๐๐๐ Na kuna siku ntaoga msimbazi mchana kweupe ili niuze vijora vyangu, mana wateja mmekuwa wabishi kutuungisha
Bi mdogo lazima ntaanzisha vurugu, nna wivu sana. ๐๐๐Leo tunatoka woteee hapa bi mkubwa hapa mdogo๐
Itakubidi uanze sa mimi ntakula wapi? ๐๐๐hao wavaa vijora sasa sio mimi,,mi na vijora wapi na wapi๐๐toka nimezaliwa ninacho kimoja na kaninunulia mama karibun tu apa
nimeishia kwenye senga apo huko dzilinga sina uhakika kama nmeelewaKamwene ulamwike yuve . Mahali senga dzilinga..?
Bi Mkubwa mpole sana hana maneno kabisa so tutakutuliza๐Bi mdogo lazima ntaanzisha vurugu, nna wivu sana. ๐๐๐