Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hii hii nlozaliwa nayo au nyingine ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ siwezi iogopa mimi
Baridi halihitaji uzoefu wifi, mimi dar naoga maji ya moto asubuhi sitaki ujinga kabisa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nimeamka uduguu wangu, nilimpigia simu dada aje tulale wote. Nilihisi Israel yuko karibu.
Leo najisikia poa kiasi chake najua kufika mchana nitatoka nje kufanya mazoezi.
Ahsante kwa kujali coca wangu
Unajua vile nakupenda sana uduguu ake!!!
 
Uduguuu leo naenda kwa ba tamu, ko kuanzia jion sitakua JF had J3 asubuhi.

Kumekucha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Weekend yako ya moto, km nakuona mbilinge zako..!! Huko kwa ba tamu unapikaga??

Mbona km umenitamanisha nitafute safari na mimi nipotee mpk j3!!
Ngoja nifanye jambo, tupotee wote. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Baridi halihitaji uzoefu wifi, mimi dar naoga maji ya moto asubuhi sitaki ujinga kabisa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚We nawe sema ulipewa mashart na mganga wako hebu ukooo
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚We nawe sema ulipewa mashart na mganga wako hebu ukooo
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Na kuna siku ntaoga msimbazi mchana kweupe ili niuze vijora vyangu, mana wateja mmekuwa wabishi kutuungisha
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Na kuna siku ntaoga msimbazi mchana kweupe ili niuze vijora vyangu, mana wateja mmekuwa wabishi kutuungisha
hao wavaa vijora sasa sio mimi,,mi na vijora wapi na wapi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚toka nimezaliwa ninacho kimoja na kaninunulia mama karibun tu apa
 
hao wavaa vijora sasa sio mimi,,mi na vijora wapi na wapi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚toka nimezaliwa ninacho kimoja na kaninunulia mama karibun tu apa
Itakubidi uanze sa mimi ntakula wapi? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom