Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban 😁tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.😳kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna😁
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu🥰

Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea 😁
IMG_3864.jpeg
 
Pole ndio maisha kupambana uduguu wangu
Nilikumiss sana ujue ww ndio mdogo angu mnjuri njuri nikupendaye since day one humu jf
Nakubaliiiiiiiii
Tupambanie life etu wenyewee, kuepuka kunyaswanyaswa. Huhuh
 
Hebu tuma yako na wewe tuone minyama iliyojazia km kitumbua cha bi mwanakombo
Kumbe ile video siku ile ilikuuma.?? Pole sana uduguu wangu
jamaniii mbona mnanipa kazii, nkitaka kuacha umbea na ukuda, bas mnakuja na mapyaa.
Sielewi
 
Ulichachukaa toka long time uduguuu, kumbe mjep akawa ananinangaa huko mlimani city, nataman kujua walininanga vipiii
, nyiee JF ni Mbuga sio pori tena.
Humu kuna mambo mengi sijaingia siku nyingi nakutana na mapya..
 
Nyie mimi mwenzenu hata sioni picha, hiyo app mpya imenishinda naona iko kama browser tu ambayo nayo ilishanishinda najitahidi kuizoea ila wapi sijui wenzangu mmeizoeaje, watu wa app ya zamani tunateseka sana na wamesema soon tu wanaidisconnect kabisa na JF
Mbona watafanya tupoteee ktk uso was JF, mie browser ndo siiwezi kabisaaa,
 
Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban 😁tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.😳kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna😁
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu🥰

Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea 😁View attachment 2912635
Mbona samaki wengi sana hao...au mko familia..
 
Back
Top Bottom