cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,379
- 188,093
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mbona mwenyewe hujisemi, kila siku unajisifia uduguuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mbona mwenyewe hujisemi, kila siku unajisifia uduguuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu unaanza kujimix ujue, si utumie id yako maarufu
Haendi kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khaaa mbona muoga hivyo mtani? Yani unafunika mpka mdomo...uwanjani utaenda kweli jmosi... [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Sioni pichaa,Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban [emoji16]tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.[emoji15]kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna[emoji16]
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu[emoji3059]
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea [emoji16]View attachment 2912635
Kwann? [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 usitoke kabisaaNshatuaa viragooo tayari [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban 😁tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.😳kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna😁
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu🥰
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea 😁View attachment 2912635
Selfika basiHumu kuna mambo mengi sijaingia siku nyingi nakutana na mapya..
Haiya iyaah kuolewa ntarudi nyumbani kutembea 😂😂😂😂Watu na vikao vya mahari mjiniii, harusiii tunayooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu nane umeonyeshwa chakula chiefAunty abiria una vidole vizuri vya kubebea glass ya wine 😍
Daah basi tu lakiniNilikuwa nakuangalia tu ulivyokuwa unaniambia niache siku ile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unitumie sasa hivi pesa ya jagermeister[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ya rema nilisearch ikaja hii nikaplay
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujapata habari, kumbe mjep na mchepuko wake walikua wananinga huko mlimani city.
Yan mume ana mnanga mkewe, wee ulisikia wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 nimeona udugu mume umejua kumkamatia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio shida zetu kabisaaa.
Vaa kijora sasa 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambiaaaa
Leta mchango mahari mil 20Watu na vikao vya mahari mjiniii, harusiii tunayooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 Wewe tena, ndiomana ulikimbia..!!Unitumie sasa hivi pesa ya jagermeister
Unachochea sio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weeee!! Kumbe ndo ilivyokuwa.??
Yani raha ziliwazidia mpk wakaamua kukunanga.!!! Jf ya moto