Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umesahau na kumgombania Jack na ulivomuambukiza ukimwi Countiri Shahidi
Pinkman
😂😂😂 Ww bwana unaye unammiliki sijui kwann hutulii mahi wangu??!
Ukimwi na gono humu si lilikuwa kwa miongozo na wake zake!!! Lini mimi nilimuambukiza kantry ukimwi tena 😂😂😂😂
Ila unajitahidi shosti, hebu tulia unywe maji kwanza
 
Birthday yangu ni .... ya mwaka nimeassume unajua hesabu.

Nimesoma soma hisabati za kikwetu darasa la 7A

20240222_163754.jpg
 
Hi Lamomy unamjua cute wife?
Akili zake na zako ni sawa
Akianza kuandika ni tililiiiiliiiiiiiiiii kama ww.
Em selfika kwanza mamie.
😂😂😂😂 kwamba siku zote hujui mi ndio nilikuwa cute wife??? Ile username kuna mtu alichukua ss hivi, anajiita hivo, baada ya mods kuomba waifute sababu ya hekaheka za waja.

Ila huyo anayejiita cute wife ss hivi sio mimi, kuna mtu mwingine anajiita hivo
 
Back
Top Bottom