Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,943
πππ Uliona wapi ndugu wa kikeni akakuchangia mahari?? Hapo ww muite ndugu yako mshamba_hachekwi akusaidie na dada yako Mamy K na Carleen ππππLeta mchango mahari mil 20
πππ Uliona wapi ndugu wa kikeni akakuchangia mahari?? Hapo ww muite ndugu yako mshamba_hachekwi akusaidie na dada yako Mamy K na Carleen ππππLeta mchango mahari mil 20
Wewe tena, ndiomana ulikimbia..!!
Yani wachaga sifa zote mjini kumbe pesa hamna?!!!

hapa sitii neno, ww nasubiri pesa hiyo ya jagermeister nifanye mambo hapaVijora pambeee viko oledee, tarumbeta na vigoma kutoka vikindu nshaandaa,Haiya iyaah kuolewa ntarudi nyumbani kutembea
Andaa vijora vya kuwakaribisha wachaga mdogo angu harusi tunayoβ¦β¦.






Usitoke mdogo angu tushuhudie manjegeka km unavyosemaga ππππNdo nishakalisha matako chini hapaa, na siyainuiiii
![]()
Mmmh katika hao mamy k nna uhakika hatoi hata 100Uliona wapi ndugu wa kikeni akakuchangia mahari?? Hapo ww muite ndugu yako mshamba_hachekwi akusaidie na dada yako Mamy K na Carleen
![]()

Oyooooooooo.!!! πππππVijora pambeee viko oledee, tarumbeta na vigoma kutoka vikindu nshaandaa,
Shughuri itamalizwa na kikundi kutoka kitunda mwana gatiii
Sherehe imepata mshereheshajiii,![]()
Wapi nikamate boda nije.Karibu
πππππ Atatoa bana wifi yangu ana mihela mumewe mfanyabiashara mkubwa.!!Mmmh katika hao mamy k nna uhakika hatoi hata 100![]()
ππππ Nimeambiwa nisikupe pesa mpk ukamilishe mahari, wakinga hawataki Marioo kwenye ukoo waohapa sitii neno, ww nasubiri pesa hiyo ya jagermeister nifanye mambo hapa
nimeona udugu mume umejua kumkamatia




mume mwenyewe tunaishi kibishiii, sasa anani nanga huko kwa wake wenzangu,Vaa kijora sasa![]()



navaa juba na abayaa, niko Edda nimeachwaa na kunangwaa juu Hongeraa kwa kujitunzaa hivyo, uko km yankiii vile.
Na uendelee kujitunza, uwe km kijana 4rever.
ππππ bora uanzishe wakae kwenye nafasi zao.!!mume mwenyewe tunaishi kibishiii, sasa anani nanga huko kwa wake wenzangu,
Cjui na mie nianzishe vuruguu, watu wapoteanee humuu.
Mie last born wa familia ya bi harusi, wee shem hujuii hili au?Leta mchango mahari mil 20




Kabisaaaa umuambie huyo shem,Uliona wapi ndugu wa kikeni akakuchangia mahari?? Hapo ww muite ndugu yako mshamba_hachekwi akusaidie na dada yako Mamy K na Carleen
![]()




ππππ Mwaka umeuanza vibaya udugu wangu, halafu ndo kwanza tuko Febu wohiiinavaa juba na abayaa, niko Edda nimeachwaa na kunangwaa juu
Nionee huruma, huu mwaka mbayaa uishee tyuuh.
πππ mahari imemchanganya mpk anaomba ndugu wa kikeni wamsaidie!!!Mie last born wa familia ya bi harusi, wee shem hujuii hili au?
![]()
Usitoke mdogo angu tushuhudie manjegeka km unavyosemaga![]()




manjegeka humu hayakosiii, ni everi dei.