Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,576
Nashukuru sanaGarbage.
Nashukuru sanaGarbage.
Sijajua hadi sasa tatizo limeanzia wapi asee, nimeshapanicWw muache afunguke kwanza kuna point naitaka ili nimkamatishe vzr, wala usijichoshe naye…!!! Si kaamua kujizima data we muache
Sijui nianzie wapi kujibu hiliAnapenda sifa za kijinga na kujisifia mwenyewe, ndio namwambia aweke tumuone![]()
Achana naye anajitekenya na kucheka mwenyewe 😂😂😂😂Sijajua hadi sasa tatizo limeanzia wapi asee, nimeshapanic


Muache aongee 😂😂😂😂khaaaaah
Tafadhari rudi ktk tabia yako, hii haikufai na siitaki kuiona kwako
Akae Kwa kutulia😂
Nimemfata ushauri wake, chai sinywi asbh
Nakula Milo miwili Kwa siku.
ughonile Nkamu?
Nyie mimi mwenzenu hata sioni picha, hiyo app mpya imenishinda naona iko kama browser tu ambayo nayo ilishanishinda najitahidi kuizoea ila wapi sijui wenzangu mmeizoeaje, watu wa app ya zamani tunateseka sana na wamesema soon tu wanaidisconnect kabisa na JF![]()
Sasa mbona mwenyewe hujisemi, kila siku unajisifia uduguuu 😂😂😂😂😂Acheni nawao tuwaseme kwani wasisemwe wamekua kina nani aikooooooo!
App inazingua sana tumia browser ina nafuu..Nyie mimi mwenzenu hata sioni picha, hiyo app mpya imenishinda naona iko kama browser tu ambayo nayo ilishanishinda najitahidi kuizoea ila wapi sijui wenzangu mmeizoeaje, watu wa app ya zamani tunateseka sana na wamesema soon tu wanaidisconnect kabisa na JF![]()
Walai browser app sio kabisa.Ipo kama app tu ya zamani na wakati huo huo kama browser...
Inatumika fresh tu mbona...
Walai browser app sio kabisa.
Jishike udugu ndio mavi gani weweSasa mbona mwenyewe hujisemi, kila siku unajisifia uduguuu![]()
Blaza ukiniita boss watu watajua ni boss kweli kumbe napuyanga tu😁😁
Wacha bhasi😁😁😁eheee niko huku blaza
App Sikuhizi Picha hazifunguki kabisa at least mwanzo zilikua zinafunguka Sijui tatizo nininiHuwa ina shida gani...?
Mimi naitumia tangu ilipozinduliwa na Max hapa jukwaani hadi leo, ipo fresh tu
Wasalam auntie miss you alot.Forever and always ankol
Samalekooo!
Hapo sawa nikajua ndo ntapasukaMlenda haunenepeshi Auntie🤣
Jr Ako vyedi sana ankol.. Hivi ulishaselfikaga humu???Wasalam auntie miss you alot.
Jr mzima..?
Sawa antiel leo lazima ni selfie an ahahahahahJr Ako vyedi sana ankol.. Hivi ulishaselfikaga humu???
Ngoja nifanye ishu moja hapa then nije uibles Jioni yangu.. usiniangushe