Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyie mimi mwenzenu hata sioni picha, hiyo app mpya imenishinda naona iko kama browser tu ambayo nayo ilishanishinda najitahidi kuizoea ila wapi sijui wenzangu mmeizoeaje, watu wa app ya zamani tunateseka sana na wamesema soon tu wanaidisconnect kabisa na JF
 
Nyie mimi mwenzenu hata sioni picha, hiyo app mpya imenishinda naona iko kama browser tu ambayo nayo ilishanishinda najitahidi kuizoea ila wapi sijui wenzangu mmeizoeaje, watu wa app ya zamani tunateseka sana na wamesema soon tu wanaidisconnect kabisa na JF

Ipo kama app tu ya zamani na wakati huo huo kama browser...

Inatumika fresh tu mbona...
 
Nyie mimi mwenzenu hata sioni picha, hiyo app mpya imenishinda naona iko kama browser tu ambayo nayo ilishanishinda najitahidi kuizoea ila wapi sijui wenzangu mmeizoeaje, watu wa app ya zamani tunateseka sana na wamesema soon tu wanaidisconnect kabisa na JF
App inazingua sana tumia browser ina nafuu..
 
Enjoy your evening wapendwaa!
wacha nibandike mandondo✌️

Msisahau kuchati na picha
 

Attachments

  • IMG_20240222_155903_076~3.jpg
    IMG_20240222_155903_076~3.jpg
    1.8 MB · Views: 3
Waniulize mimi
Niatwambia wewe ni boss
Wao wakuone unapuyanga tuu

Inabidi nikutafute tupige gahawa boss wangu
Blaza ukiniita boss watu watajua ni boss kweli kumbe napuyanga tu😁😁

Wacha bhasi😁😁😁eheee niko huku blaza
 
Back
Top Bottom