Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,973
- 26,960
Asante mamaKaribu kwetu Auntie
Nimeletewa mlenda pori mwingi🤣
Wiki nzima hii nitapika
Ni mtamu ety?
Asante mamaKaribu kwetu Auntie
Nimeletewa mlenda pori mwingi🤣
Wiki nzima hii nitapika
SanaAsante mama
Ni mtamu ety?
Aikooooooo.Umechemka aisee na nakupa pole alafu kukumaliza kabisa leo toka asubuhi na lamomy tulikua na discussion ya mahari, sasa sijui hali yako itakuaje aisee
View attachment 2912369View attachment 2912371
Ngoja nije nitafute pia sema naogopa nisije letewa sumu.Sana
Antonnia my friend bado nasikitika kwa hiliStory fupi fupi picha kwawingi wapendwaaaa!!
![]()
Yani Saint mim nilivo mroho aki aki nikikaa na ww ntapasuka.
Jamani 😂😂😂😂Umechemka aisee na nakupa pole alafu kukumaliza kabisa leo toka asubuhi na lamomy tulikua na discussion ya mahari, sasa sijui hali yako itakuaje aisee
View attachment 2912369View attachment 2912371
Acha hiki unafanya kwa sasa muda wa kupambana na hayo haupo, but kama utalazimisha basi itakuaAcheni nawao tuwaseme kwani wasisemwe wamekua kina nani aikooooooo!
Hapo na pilipili kwa pembeni🔥View attachment 2912372
Kitu hicho kipenzi cha wengi❤️
😳😳😳😳😳😳😳😳! Nimefanya nini rafiki??? DohhAntonnia my friend bado nasikitika kwa hili
Mroho wapi hata huli sis..Unagusa tu nashangaa unapasukaa hatariiYani Saint mim nilivo mroho aki aki nikikaa na ww ntapasuka.
Unajua bado nashindwa nimjibu vp aiseeWw bwana unaye unammiliki sijui kwann hutulii mahi wangu??!
Ukimwi na gono humu si lilikuwa kwa miongozo na wake zake!!! Lini mimi nilimuambukiza kantry ukimwi tena
Ila unajitahidi shosti, hebu tulia unywe maji kwanza
Mlenda pori ni common sehemu nyingiNgoja nije nitafute pia sema naogopa nisije letewa sumu.
Maan uyoga nishakataa kula kabisa.
😂😂😂😂 kumbe uzi ulianza kuchachuka muda mi sikuonaJamaniiii naombaaa ufungukeee zaidi, kumbe mjep na tinsley walikua wananinanga huko mlimani city?
Hebuu sema yoteeeee, nasemajeee hebu fungukaaa nijue kulikoniiii.
Jamaniiiiiiii kumekuchaaa hapaaaa.
Unajua nn umefanya, umenisikitisha sanaNimefanya nini rafiki??![]()
Njoo upasuke😂Yani Saint mim nilivo mroho aki aki nikikaa na ww ntapasuka.