Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ipo kama app tu ya zamani na wakati huo huo kama browser...

Inatumika fresh tu mbona...
Mimi kinachonishinda sana sana ni suala la notifications na comments kugawanyika katika pages, mi nishazoea kwenye app nascroll tu hadi chini comments zote zinakaa kwa page moja, kwanini wasifanye kama hivyo kwenye hiyo app mpya
 
☹️☹️☹️☹️☹️☹️Aikoooooooh! Umenishtua sana unajua iyo salam ya Aikooooo! ilipotokea? Unanifanyia uchonganishi sana, hiyo salamu nina Copyright yake mimi ndo mmiliki wa hiyo Salamu popote kwenye kwenye Comment zangu naanza na hiyo. Unachokifanya ni unaenda kuiba halafu unadondosha ID ya mtu mwingine kaka mchonganishi wewe 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanza nimesha elewa you aren't a man, nimesoma mwandiko wako, Lakini bado siamini kweli ni wewe nayekujua! Mimi sichonganishwi bure kitendo umejila, 🤪🤪🤪
😂😂 Aikooooo ya ny….!
 
"Who will cry when you die?"
Author: Robin Sharma
 

Attachments

  • 20240221_174848.jpg
    20240221_174848.jpg
    864.4 KB · Views: 6
Back
Top Bottom