Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,973
- 26,960
😍😍😘😘😘Soon ntakuja kipenzi miss you more
😍😍😘😘😘Soon ntakuja kipenzi miss you more
Tununu nkamuNdi nkafu...twa masiku kalumbu?
Mimi kinachonishinda sana sana ni suala la notifications na comments kugawanyika katika pages, mi nishazoea kwenye app nascroll tu hadi chini comments zote zinakaa kwa page moja, kwanini wasifanye kama hivyo kwenye hiyo app mpyaIpo kama app tu ya zamani na wakati huo huo kama browser...
Inatumika fresh tu mbona...
Naam My wanguKumanyokoo.
😂😂 Aikooooo ya ny….!☹️☹️☹️☹️☹️☹️Aikoooooooh! Umenishtua sana unajua iyo salam ya Aikooooo! ilipotokea? Unanifanyia uchonganishi sana, hiyo salamu nina Copyright yake mimi ndo mmiliki wa hiyo Salamu popote kwenye kwenye Comment zangu naanza na hiyo. Unachokifanya ni unaenda kuiba halafu unadondosha ID ya mtu mwingine kaka mchonganishi wewe 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanza nimesha elewa you aren't a man, nimesoma mwandiko wako, Lakini bado siamini kweli ni wewe nayekujua! Mimi sichonganishwi bure kitendo umejila, 🤪🤪🤪
Jf hakuna warembo mzeebaba humu kuna mishangazi na vigagula tumademu warembo humu hamjambo?
kama unajijua wee sio mrembo usijibu hii salamu
ngoja tuone watakao jibuJf hakuna warembo mzeebaba humu kuna mishangazi na vigagula tu
Tununu nkamu
Leo huweki kapicha?
😂😂😂😂 uduguu unaanza kujimix ujue, si utumie id yako maarufuJishike udugu ndio mavi gani wewe
Poapoa ankol ukitaka kutupia uniite kwanza nisije kupitwaSawa antiel leo lazima ni selfie an ahahahahah
Irudie Nkamu mweeIpo posts za leo mchana sijui post # ngapi, rudi rudi nyuma utaiona kalumbu...
Irudie Nkamu mwee
Ni vile basi tu lakini sijui imekuwajeAchana naye anajitekenya na kucheka mwenyewe
Ila siku ile nilitaka kumchachua ukanipa maneno mengi ya amani, ukajifanya umerithi mikoba ya Koffi Annan nikanyamaza leo umejionea sasa