Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu

Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea View attachment 2912635
Sioni pichaa,
Unapika nn chibongeee??
 
Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban 😁tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.😳kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna😁
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu🥰

Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea 😁View attachment 2912635

Aunty abiria una vidole vizuri vya kubebea glass ya wine 😍
 
Vyovyote nitavyoandika hutaamini...

Ila mimi nafahamika sana tu na baadhi ya watu JF, kwa kuonana...
Hongeraa kwa kujitunzaa hivyo, uko km yankiii vile.
Na uendelee kujitunza, uwe km kijana 4rever.
 
Back
Top Bottom