cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,291
Haendi kabisaaaKhaaa mbona muoga hivyo mtani? Yani unafunika mpka mdomo...uwanjani utaenda kweli jmosi...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()




Haendi kabisaaaKhaaa mbona muoga hivyo mtani? Yani unafunika mpka mdomo...uwanjani utaenda kweli jmosi...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()




Sioni pichaa,Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumbantangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.
kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepoteaView attachment 2912635



Kwann?![]()
😂😂😂😂 usitoke kabisaaNshatuaa viragooo tayari![]()
Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban 😁tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.😳kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna😁
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu🥰
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea 😁View attachment 2912635
Selfika basiHumu kuna mambo mengi sijaingia siku nyingi nakutana na mapya..
Haiya iyaah kuolewa ntarudi nyumbani kutembea 😂😂😂😂Watu na vikao vya mahari mjiniii, harusiii tunayooo
![]()
Watu nane umeonyeshwa chakula chiefAunty abiria una vidole vizuri vya kubebea glass ya wine 😍
Daah basi tu lakiniNilikuwa nakuangalia tu ulivyokuwa unaniambia niache siku ile![]()
Unitumie sasa hivi pesa ya jagermeister
Kuna ya rema nilisearch ikaja hii nikaplay
hujapata habari, kumbe mjep na mchepuko wake walikua wananinga huko mlimani city.
Yan mume ana mnanga mkewe, wee ulisikia wapi?
![]()


😂😂😂😂 nimeona udugu mume umejua kumkamatiasio shida zetu kabisaaa.
Vaa kijora sasa 😂😂😂nakuambiaaaa
Leta mchango mahari mil 20Watu na vikao vya mahari mjiniii, harusiii tunayooo
![]()
😂😂😂😂 Wewe tena, ndiomana ulikimbia..!!Unitumie sasa hivi pesa ya jagermeister
Unachochea sioweeee!! Kumbe ndo ilivyokuwa.??
Yani raha ziliwazidia mpk wakaamua kukunanga.!!! Jf ya moto

Hongeraa kwa kujitunzaa hivyo, uko km yankiii vile.Vyovyote nitavyoandika hutaamini...
Ila mimi nafahamika sana tu na baadhi ya watu JF, kwa kuonana...