Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Vyovyote nitavyoandika hutaamini...

Ila mimi nafahamika sana tu na baadhi ya watu JF, kwa kuonana...
Hongeraa kwa kujitunzaa hivyo, uko km yankiii vile.
Na uendelee kujitunza, uwe km kijana 4rever.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe tena, ndiomana ulikimbia..!!
Yani wachaga sifa zote mjini kumbe pesa hamna?!!!
[emoji23][emoji23]hapa sitii neno, ww nasubiri pesa hiyo ya jagermeister nifanye mambo hapa
 
Haiya iyaah kuolewa ntarudi nyumbani kutembea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Andaa vijora vya kuwakaribisha wachaga mdogo angu harusi tunayo…….
Vijora pambeee viko oledee, tarumbeta na vigoma kutoka vikindu nshaandaa,
Shughuri itamalizwa na kikundi kutoka kitunda mwana gatiii

Sherehe imepata mshereheshajiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom