cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,379
- 188,085
Nshatuaa viragooo tayari [emoji23][emoji23][emoji23]Bora umerudi uduguu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nshatuaa viragooo tayari [emoji23][emoji23][emoji23]Bora umerudi uduguu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambiaaaaHuyo mvaa vinjunga atakuchosha, labda avae kijora kwa juu kuficha kinjunga chake [emoji23][emoji23][emoji23]
Sema kweliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio wamo woteeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo amesha shindikanaaaShemeji unamuacha ajipige pic mwenyewe kweli?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] selee yupiii kwani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We selemani weee sele, sele
Uduguu tulia utaharibu ujue, shauri yako
Nakubaliiiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole ndio maisha kupambana uduguu wangu [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Nilikumiss sana ujue ww ndio mdogo angu mnjuri njuri nikupendaye since day one humu jf [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio shida zetu kabisaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha weee watu na mabebi zenu buana, wala hamtumii nguvu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti nimekuambukiza ukimwi Kantry, ila kuna vitu vinachekesha aiseee!!!
Hizi id zinazobadilika rangi ni tatizo aiseee!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu unaofanya ni uoga wa hali ya juu sana, bado nashindwa nikujibu nn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii mbona mnanipa kazii, nkitaka kuacha umbea na ukuda, bas mnakuja na mapyaa.Hebu tuma yako na wewe tuone minyama iliyojazia km kitumbua cha bi mwanakombo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ile video siku ile ilikuuma.?? Pole sana uduguu wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemajeeee nasemajeeeBado hujasema mbona unaongea kwa kuogopa kupitia hii id, si ufunguke na mu id wako wa siku zote…!! Ya nini kujinyima raha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi da Shunie na hii ni id yake eeee?!!!
Watu na vikao vya mahari mjiniii, harusiii tunayoooUmechemka aisee na nakupa pole alafu kukumaliza kabisa leo toka asubuhi na lamomy tulikua na discussion ya mahari, sasa sijui hali yako itakuaje aisee
View attachment 2912369View attachment 2912371
Ulichachukaa toka long time uduguuu, kumbe mjep akawa ananinangaa huko mlimani city, nataman kujua walininanga vipiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe uzi ulianza kuchachuka muda mi sikuona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] woiiiiiiiihKwahiyo ww ndo mwenye soko?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya selfika na komwe lako km korido la shule
Nimecheka mnoo..acha utundu... 😀 😀 😀Ni Nyakimbimbiri sis🤠!
Humu kuna mambo mengi sijaingia siku nyingi nakutana na mapya..Ulichachukaa toka long time uduguuu, kumbe mjep akawa ananinangaa huko mlimani city, nataman kujua walininanga vipiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nyiee JF ni Mbuga sio pori tena.
Mbona watafanya tupoteee ktk uso was JF, mie browser ndo siiwezi kabisaaa, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Nyie mimi mwenzenu hata sioni picha, hiyo app mpya imenishinda naona iko kama browser tu ambayo nayo ilishanishinda najitahidi kuizoea ila wapi sijui wenzangu mmeizoeaje, watu wa app ya zamani tunateseka sana na wamesema soon tu wanaidisconnect kabisa na JF [emoji22][emoji22]
Aongee nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muache aongee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona samaki wengi sana hao...au mko familia..Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban 😁tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.😳kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna😁
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu🥰
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea 😁View attachment 2912635