Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Boss wangu mwaka wa 3 huu nakula michembe, usinambie na wewe unapatikana kanda hii?
Blaza ukiniita boss watu watajua ni boss kweli kumbe napuyanga tu😁😁

Wacha bhasi😁😁😁eheee niko huku blaza
 
Hebu tuma yako na wewe tuone minyama iliyojazia km kitumbua cha bi mwanakombo 😂😂😂😂😂
Kumbe ile video siku ile ilikuuma.?? Pole sana uduguu wangu
Tukunyema 🤠🤠🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️!
Nikipigwa simooo🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Nyie ngisi lamomo na cocacola Kuna seleka la jaki kountri mjipu na wakeze humu mbona hamlisemi??

Na machoko nazo huwa zinabamba sana humu kwa uzi wa mganga
Bado hujasema mbona unaongea kwa kuogopa kupitia hii id, si ufunguke na mu id wako wa siku zote…!! Ya nini kujinyima raha 😂😂😂😂
Hivi da Shunie na hii ni id yake eeee?!!!
 
Nawewe ulimuambukiza Basha wako Ukimwi Shahidi Pinkman unabisha!??
Unamsema Depo kumbe nawewe ni kipimbi. Nacheka sana
Umechemka aisee na nakupa pole alafu kukumaliza kabisa leo toka asubuhi na lamomy tulikua na discussion ya mahari, sasa sijui hali yako itakuaje aisee
Screenshot_20240222-171053_1.jpg
Screenshot_20240222-171216_1.jpg
 
Back
Top Bottom