Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

koh koh koh
Inshort kulikuwa na vurugu za masuria ya Bwana Miongozo na wadada wa sate sauzand na mambo ya wajuba kuibiana wachuchu na kutoleana siri za mcity…!!!
Mara ww umemchukua yule wa kwangu kwann??
Na wengine kujipa maujiko ya kuvua magagulo ya wadada kumbe ni kutaka kujibrand you know
Maneno ishirini bado.??

All in all tulia soon utajionea wadada wakianza kudolishiana mishape na mishimo ya mashavuni
Umesahau na kumgombania Jack na ulivomuambukiza ukimwi Countiri Shahidi
Pinkman
 
Uko kuniua
Bila hata wizzy kusema ni kweli mimi kuna vitu sivipendi na analijua hilo.!
Kwanza humu jf sipendi kujuana na mtu yoyote nje ya jf.! Mambo ya jf yanamalizika humu humu sipendi kujuana sana.!
Siwezi kuwa na wapenzi humu sababu ziko wazi, siwezi kudate na mtu ambaye ana uwezo wa kumiliki idadi nyingi ya IDs na ndiomana pm yangu imejaa wadada na story nyingi ni za umbea
Ww ni mfano mzuri wa mbanga za humu, na ndo uliyetuletea story za sate sauzand, hivi bado ntakuwa mjinga nianze kujuana na watu??
Jf nzuri ukiishi bila kutaka kujuana na watu nje ya jf..! Kujuana naona ni vzr ikiwa ME kwa ME japo wengine walirudi humu wakaanza kupeana kashfa za ushoga.
Kwa sisi KE na KE hapa ndo tatizo tuna unafiki mwingi, imagine issue za pm tunasimangana huyu kasema hivi kwa huyu na yule kaongea vile hapo hatujuani, vipi tukijuana kwa macho ya nyama??
KE na ME hapo ndo siongei watu wengi wamebadili id kwa mambo km hayo, na mengine ww mwenyewe shuhuda na ulituletea hapa mambo yote.!
Ni kweli mimi sio mkamilifu ila sio kwa hapa jf sijawahi hata kuwaza kudate na mtu au watu.
ndo mtafanya uzi ufungwe, na ushoga tena huko ndaniii
Kushakuchaaa sasa.
 
Kwani uongo??
Humu unazoeleka mpk ukituma picha umesimama vibaya unauulizwa mbona leo hips halionekani..?? Au dimples hatuzioni??

Au mbona km wowowo sio lako.!!! Umejijaradia na kigodoro nini..??
Na kutuma hadi video kutangaza soko la viunoo viuno. Kweli watu kwa picha wamekosa soko.
 
Back
Top Bottom