Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,849
- 37,556
Sawa ht mi naona ulikuwa unaelezea situation Kwa kifupi🏃🏃Sijataja mtu lkn… 🤣🤣🤣🤣
Sawa ht mi naona ulikuwa unaelezea situation Kwa kifupi🏃🏃Sijataja mtu lkn… 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Hiyo ndo point ya msingi kumbe umenielewa mdogo angu?? Huyo shemejio anataka ukapauke kwa omu 🤣🤣🤣🤣
Wizzy unalo Countrywide mkeka umechanika vibaya
Si utupie picha tuone 🤣🤣🤣Jamani huu Uzi umerudi hauna ile amsha amsha km mwanzo
Mods ,mli inturupt sshv kitakuwa kijiwe Cha story tu😏
😂😂😂😂 Fujo isiyoumizaSawa ht mi naona ulikuwa unaelezea situation Kwa kifupi🏃🏃
Naona kabisa unatafutwa kupigwaSi utupie picha tuone 🤣🤣🤣
Tatizo ss hivi haitanoga wamewazoea si mnakutana nao mcity…!!! Inakuwa hakuna jipyaaaa 🤣🤣🤣
🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️ Ila mi ntapigwa mjue
USA 🇺🇸 Babe you know 😎😎Situation 🏃🏃
Jmn tunaomba picha ht za google
🤣Mbavu zanguUSA 🇺🇸 Babe you know 😎😎
Tayana hi 👋
🤣🤣🤣🤣🤣 Kwani uongo??Naona kabisa unatafutwa kupigwa
Sisaidii mtu Mimi🤣🤣🤣
Anabet huyoooo 🤣🤣🤣🤣Mbavu zangu
Halafu mbona umepotea, au ushajua umeshtukiwa😷
😅😷🤪 Mi simo🤗🤣🤣🤣🤣🤣 Kwani uongo??
Humu unazoeleka mpk ukituma picha umesimama vibaya unauulizwa mbona leo hips halionekani..?? Au dimples hatuzioni?? 😂😂😂😂
Au mbona km wowowo sio lako.!!! Umejijaradia na kigodoro nini..?? 😂😂😂
Kumbeee🤣😬Anabet huyoooo 🤣🤣🤣
We tembelea uzi wa kubet utamuona kajaa
Tayana selfika mtu wangu nikuone mamii😅😷🤪 Mi simo🤗
Wewe hapo Aaliyyah na yale mashavu yako dodo😋Mimi huyu au umenifananisha mkuu😀😀
Aah wapi hebu niache mieee🤣Tayana selfika mtu wangu nikuone mamii
Mdogo angu mnjurii njurii mchwitiii wake mimi 😘😘😘
Shem selfika tuone sikisi paki 🤪Wewe hapo Aaliyyah na yale mashavu yako dodo😋
Tuone bhana muda hujatupia mdogoangu ujue 😊Aah wapi hebu niache mieee🤣
Sasa haya ndo mambo nnayoyapenda kutoka kwako 😂😂😂😂😂 koh koh koh
Inshort kulikuwa na vurugu za masuria ya Bwana Miongozo na wadada wa sate sauzand na mambo ya wajuba kuibiana wachuchu na kutoleana siri za mcity…!!!
Mara ww umemchukua yule wa kwangu kwann??
Na wengine kujipa maujiko ya kuvua magagulo ya wadada kumbe ni kutaka kujibrand you know 😎
Maneno ishirini bado.?? 😂😂😂😂
All in all tulia soon utajionea wadada wakianza kudolishiana mishape na mishimo ya mashavuni 😜🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️