Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂 koh koh koh
Inshort kulikuwa na vurugu za masuria ya Bwana Miongozo na wadada wa sate sauzand na mambo ya wajuba kuibiana wachuchu na kutoleana siri za mcity…!!!
Mara ww umemchukua yule wa kwangu kwann??
Na wengine kujipa maujiko ya kuvua magagulo ya wadada kumbe ni kutaka kujibrand you know 😎
Maneno ishirini bado.?? 😂😂😂😂

All in all tulia soon utajionea wadada wakianza kudolishiana mishape na mishimo ya mashavuni 😜🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Sasa haya ndo mambo nnayoyapenda kutoka kwako 😂

Tuko pamoja katika kulijenga taifa

Kiswahili inaonekana ulifaulu wewe😁😁😁😁 maneno 20 net hakijaongezeka kitu hakijapungua kitu😁😁

Basi ngoja tuendelee kukaa mkao wa drama🏃🏽‍♂️
 
Tuko pamoja mpk watuue 🤣🤣🤣🤣
Naam naam
Notification ya mod ndo imenileta huku aisee

Naona mod kachangia uzi flani sasa nikashangaa kweli uzi una madini gani mpaka mods wanachangia mada 😂😂

Ngoja nikaonepo nini kipo huko ndo nakutana na mapicha picha

Ila nilipokuona nikasema baaasi hapa hakiharibiki kitu😁😁😁😂
 
Back
Top Bottom