Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamani huu Uzi umerudi hauna ile amsha amsha km mwanzo
Mods ,mli inturupt sshv kitakuwa kijiwe Cha story tu😏
Si utupie picha tuone 🤣🤣🤣
Tatizo ss hivi haitanoga wamewazoea si mnakutana nao mcity…!!! Inakuwa hakuna jipyaaaa 🤣🤣🤣
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️ Ila mi ntapigwa mjue
 
Si utupie picha tuone 🤣🤣🤣
Tatizo ss hivi haitanoga wamewazoea si mnakutana nao mcity…!!! Inakuwa hakuna jipyaaaa 🤣🤣🤣
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️ Ila mi ntapigwa mjue
Naona kabisa unatafutwa kupigwa
Sisaidii mtu Mimi🤣🤣🤣

Kwahiyo ambao hatujakutana mcity ruksa kutulia🏃🏃😅😷
 

Attachments

  • 19672793.jpg
    19672793.jpg
    34.5 KB · Views: 7
Naona kabisa unatafutwa kupigwa
Sisaidii mtu Mimi🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 Kwani uongo??
Humu unazoeleka mpk ukituma picha umesimama vibaya unauulizwa mbona leo hips halionekani..?? Au dimples hatuzioni?? 😂😂😂😂

Au mbona km wowowo sio lako.!!! Umejijaradia na kigodoro nini..?? 😂😂😂
 
😂😂😂😂 koh koh koh
Inshort kulikuwa na vurugu za masuria ya Bwana Miongozo na wadada wa sate sauzand na mambo ya wajuba kuibiana wachuchu na kutoleana siri za mcity…!!!
Mara ww umemchukua yule wa kwangu kwann??
Na wengine kujipa maujiko ya kuvua magagulo ya wadada kumbe ni kutaka kujibrand you know 😎
Maneno ishirini bado.?? 😂😂😂😂

All in all tulia soon utajionea wadada wakianza kudolishiana mishape na mishimo ya mashavuni 😜🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Sasa haya ndo mambo nnayoyapenda kutoka kwako 😂

Tuko pamoja katika kulijenga taifa

Kiswahili inaonekana ulifaulu wewe😁😁😁😁 maneno 20 net hakijaongezeka kitu hakijapungua kitu😁😁

Basi ngoja tuendelee kukaa mkao wa drama🏃🏽‍♂️
 
Back
Top Bottom