Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Siyo lazima wote tunenepe😂😂😂
Ndio maana hunenepi, unapelekaje maisha ya dar huko uliko?
Ndio maana hunenepi, unapelekaje maisha ya dar huko uliko?
Ngoja upite ppf tower ndio utajua faida ya unene😂Siyo lazima wote tunenepe😂😂😂
Ndio wapi huko?Ngoja upite ppf tower ndio utajua faida ya unene😂
Kishua 🔥🔥🔥
Pale mwanjelwa unashuka na ile barabara ya vumbi😀Ndio wapi huko?
Nitaftie huyo mtoto wa shangaz ukimuona na umpeleke kando kidogo na umwambie nmem miss ile kisanaWewe
Cuzo kitu cha maruni
Jamani valentine inakuja kivingine
B@cocastic umemuona cuzo🔥🔥
😂😂😂😂 Hadi ww umemkubali??Sisi tushamkubali
Uduguu una mbwembwe khaaa!! 😂😂😂Hapana kwanza hata nilikua na hao marafiki sasa🤠🤠🤠🤠!
Mi nilikua najuana na Smart911 tu sikuwaga na hizo hobby za friends kabisa
Coca si angemsaidia shemeji kumpiga picha, huumii huo mkono huku unaweka pozi?? 🤣🤣🤣
Umebaki menyewe jeshi la mtu mmoja😂😂😂😂😂 Hadi ww umemkubali??
Kwahiyo peke yangu ndo mwenye gubu??
Wacha wee CuzoNitaftie huyo mtoto wa shangaz ukimuona na umpeleke kando kidogo na umwambie nmem miss ile kisana
😂😂😂 Na nitahakikisha hamnishindi Tayana haolewi na yule mwanaume nawaambiaUmebaki menyewe jeshi la mtu mmoja😂
Mm siyo wakishuaCoca si angemsaidia shemeji kumpiga picha, huumii huo mkono huku unaweka pozi?? 🤣🤣🤣
Kwahiyo hata kumuita mpita njia akusaidie ulishindwa shem? 😜Mm siyo wakishua
😂😂😂 Na nitahakikisha hamnishindi Tayana haolewi na yule mwanaume nawaambia
Hold on...........!
Na akikomalia jambo sasa utasema analipwa 🤣🤣🤣Uzuri shemeji alishabariki huna ubavu wa kupangua
😂😂😂😂😂😂Na akikomalia jambo sasa utasema analipwa 🤣🤣🤣
Hapa ananilazimisha kila siku nichukue kadi ya CCM na nilivyo siwapendi mbogamboga 😂😂