Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Hahahahaha uzi ushapoteza radha..sasa ni mastori tu 😂Mbona hamtupii ni maneno maneno tuu au zile picha mlizokua mnatupia zamani sio zenu??? 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Mambo ya Location hayoPicha ya kufungulia mwaka....mke wa mtu na mume wa watu...
View attachment 2898006
Bado Vijana wakitajiwa mahari ya shilingi milioni 10 wanaanza kuomba punguzo.
Hahaha kazi sana...Hahahahaha uzi ushapoteza radha..sasa ni mastori tu 😂
Hiyo 10m ntachukua nikanunue kiwanja cha familia.🤓Bado Vijana wakitajiwa mahari ya shilingi milioni 10 wanaanza kuomba punguzo.
Hivi hawaoni kweli mambo yalivyonoga 🤗
Ukiongeza na ile PhD si ndiyo balaa 🙌😜
Nivute kwako niwe wako milele😁😁😁😂
Ukishaolewa familia yako ni Mume wako na Watoto, usije ukachukua hiyo hela ukaenda kujenga Milimani kule Upareni 🤗Hiyo 10m ntachukua nikanunue kiwanja cha familia.🤓
Babu tupia acha hadithi za sungura na fisi 🤣🤣🤣🤣Ukishaolewa familia yako ni Mume wako na Watoto, usije ukachukua hiyo hela ukaenda kujenga Milimani kule Upareni 🤗
Mzee wenu ndiyo nimeshaanza kutoa mafunzo hivyo 😜
Wee yako ikwapi?? Onesha mfanoo wengine wafuatieMbona hamtupii tuwasifie au wix zimekataa ngozi zinagoma ku glow 😜
Wekeni filter buana mpost mi nataka kulala
🤣🤣🤣 Nasubiri za warembo mi kabaya kabaya ujue mtaotaWee yako ikwapi?? Onesha mfanoo wengine tufuatie
Naomba kupata jina la kitabu Mkuu.Kuna siku nilikuwa napitia Uzi wa vitabubhapa jf nikdownload kadhaa wanasema kinahus mahusiano niakjua ni kama kile women are from Mars 😂😂😂😂Nikasahau na kukikosoma saa Sasa juz nafuta futa vitu nikakiona nikafungua hatar na nusu🤣🤣🤣
Hahahahaha, hapo mahari 10m hutakiwi kulalamika kabisaBado Vijana wakitajiwa mahari ya shilingi milioni 10 wanaanza kuomba punguzo.
Hivi hawaoni kweli mambo yalivyonoga 🤗
Ukiongeza na ile PhD si ndiyo balaa 🙌😜
Weee Lamomy wewe ni mtoto mkareee mbichi kabisa acha hizooo!🤣🤣🤣 Nasubiri za warembo mi kabaya kabaya ujue mtaota