Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,503
- 203,208
🙄Hatimae yale mijianaume ya ovyo nayoiponda kila siku hapa inaonekana live
🙄Hatimae yale mijianaume ya ovyo nayoiponda kila siku hapa inaonekana live
I was shy, young...mapenzi mapenzi wasn't something ever crossed my mind...
Mwana jf mwenzangu emu nikopeshe 200kHapa penyewe nimetoka kopeshwa
600k. na mwana jf.
ShuleUlikuwa wapi?
Hahaha me nishaambiwa humu najuana na ID fulani ya Kike very famous ..mwingine akanambia ID me ishanikaza![]()
Unakuwa na ID nyingine.😀Mi pia. My better half is from jf...My first internship nilielekezwa na jamaa from jf. Kuna bidhaa na biashara huwa nanunua from members ambao tumejuana humu.
Kikubwa watu wanajistukia hususan wadada. Be real kuna wale wanajikuta wanafake saana wakijulikana uhalisia wao wanakosa confidence ya kuishi humu.
Wana wengi saana tumejuana humu kumbe wengine ni class mate kabisaa tena sometimes tulikuwa hadi n friends.
Changamoto sometimes unaweza kushindwa kueleza mambo yako hususan zile inner problems kutokana na kujulikana. Kitu kama hiki kinafanya usiwe free saaana. So ku avoid soo unajikuta una 'fekero' nadhan mnanielewa nikisema fekero
😂 😂 😂Mwana jf mwenzangu emu nikopeshe 200k
😂😂😂🏃🏃
Eeh kumbe upo dada 🏃🏃🏃🏃😂 😂 😂
Mdogo wangu usikimbie kwenye post tafadhali sana!!
Itafika wakati ukishafahamiana na baadhi ya member utalazimika uwe na id nyingine tu ili ikupe uhuru wa kutoa mambo yako ya ndani zaidi.😀Mie kuna mtu aliwahi niambia mwandiko wangu unafanana na wa id moja hivi kongwe tu humu akanitajia hiyo id halafu akanambia huyo dada anaishi nje nikamuambia siyo mimi sina id zaidi ya moja humu



yaani moyo wangu ti ti ti unakimbia
Mimi atakuwa mtu wa kwanza wa Jeiefu kuonana na wewe...deal?
Hahah kama nakuona moyo unavyokuenda resi
Wapi hii uncle
Mkuu salute kwako, at least jf inafanya tupige story na jamii ya watu fulani.









Na wee jana ulikuwepo coco??
Naomba usinicheke mimi jamani

😂😂😂
Yaaaaaas!!Aje aonyeshe mfano.![]()
Yapi eti jamaniItafika wakati ukishafahamiana na baadhi ya member utalazimika uwe na id nyingine tu ili ikupe uhuru wa kutoa mambo yako ya ndani zaidi.![]()