Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463














Viatu vyangu kupata vumbi ni vigumu sana, kwa sababu nikikivaa leo, kukirudia ni mpaka miaka miwili ipite, halafu kikitoka mlangoni nyumbani kinapiga hatua chache kwenda kwenye BMW, kikitoka kwenye BMW, kinapiga hatua chache kuingia ofisini.
Kinachopata tabu labda rubber ya mazoezi kwenye treadmill.
Haya mabuti na vimoka niliacha kuhesabu nilipofikisha 600, kuna vingine hata kuvaa bado sijawahi kuvivaa.
Sasa katika mazingira hayo, vumbi labda kwenye closet, na mimi nyumbani full AC sifungui madirisha, vumbi kufika kwenye closet ni tabu sana.
Just sayin'.
Mkuu sisi ndio tutakuwa tunavaa mitumba yenu first gradeViatu vyangu kupata vumbi ni vigumu sana, kwa sababu nikikivaa leo, kukirudia ni mpaka miaka miwili ipite, halafu kikitoka mlangoni nyumbani kinapiga hatua chache kwenda kwenye BMW, kikitoka kwenye BMW, kinapiga hatua chache kuingia ofisini.
Kinachopata tabu labda rubber ya mazoezi kwenye treadmill.
Haya mabuti na vimoka niliacha kuhesabu nilipofikisha 600, kuna vingine hata kuvaa bado sijawahi kuvivaa.
Sasa katika mazingira hayo, vumbi labda kwenye closet, na mimi nyumbani full AC sifungui madirisha, vumbi kufika kwenye closet ni tabu sana.
Just sayin'.


Mimi natembelea kote, kuanzia Doubletree mpaka Uwanja wa Fisi.Mpinga Kristo kumbe hata nyuzi kama hizi huwa unakuwepo pia?!
Hahaha nakumbuka vizuri zile kordo zilikuwa hazitoshi.( I was there)
Kelele za njaaaaaaaaaaaaaaaaa
njaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Ulikuwaga ukiziimba kweli
wewe
Zikianzia 5 kule 6 wanajibu pia njaaaa
Tuma pichaHivi tunazungumzia nini eti jamani
Nilirudi likizo Tanzania na mabegi kama 10 nimewaletea ndugu, jamaa na marafiki, hususan shangazi, mama wadogo na dada zawadi, vi perfume na handbags. Vi suti suti kwa cousins, vi laptops, vi camera vi vikorokoro kibao. Nilitumia kama US $20,000 hivi kwa shopping hiyo, kwa sababu nilikuwa sijarudi nyumbani kitambo, na sikutaka kurudi mikono mitupu kwa wapendwa wangu niliowamiss sana.Mkuu sisi ndio tutakuwa tunavaa mitumba yenu first grade![]()
Najua hutanii jamani!!hahaha sitaniii.
Nimekuzoom hapo kwenye miwani
OoooohhhhhTuma picha
Acha hizo....emu nioshe macho na ule msambwandaNipo muda mrefu humu ndani namsubiri mdogo wangu Depal atume angalau tumiguu kanafsi kangu katulie..ni logout
Mkuu salute kwako, at least jf inafanya tupige story na jamii ya watu fulani.Nilirudi likizo Tanzania na mabegi kama 10 nimewaletea ndugu, jamaa na marafiki, hususan shangazi, mama wadogo na dada zawadi, vi perfume na handbags. Vi suti suti kwa cousins, vi laptops, vi camera vi vikorokoro kibao. Nilitumia kama US $20,000 hivi kwa shopping hiyo, kwa sababu nilikuwa sijarudi nyumbani kitambo, na sikutaka kurudi mikono mitupu kwa wapendwa wangu niliowamiss sana.
Airport Dar wakawa hawataki kukubali kwamba mabegi yote yale zawadi, wakawa wanadai nafanya biashara.
Wangekuwa hawana ujinga kama huo kila mwaka ningekuwa napeleka mzigo, tena si wa kuuza, wa kugawa tu.
Sawa muheshimiwa kiduku liloNilirudi likizo Tanzania na mabegi kama 10 nimewaletea ndugu, jamaa na marafiki, hususan shangazi, mama wadogo na dada zawadi, vi perfume na handbags. Vi suti suti kwa cousins, vi laptops, vi camera vi vikorokoro kibao. Nilitumia kama US $20,000 hivi kwa shopping hiyo, kwa sababu nilikuwa sijarudi nyumbani kitambo, na sikutaka kurudi mikono mitupu kwa wapendwa wangu niliowamiss sana.
Airport Dar wakawa hawataki kukubali kwamba mabegi yote yale zawadi, wakawa wanadai nafanya biashara.
Wangekuwa hawana ujinga kama huo kila mwaka ningekuwa napeleka mzigo, tena si wa kuuza, wa kugawa tu.
Vitu vya kawaida tu.Siku ukisikia Kiranga ka list kampuni New York Stock Exchange nitakuruhusu upige salute.Mkuu salute kwako, at least jf inafanya tupige story na jamii ya watu fulani.
Chat na picha tafadhali
You're almost there mkuu.Vitu vya kawaida tu.Siku ukisikia Kiranga ka list kampuni New York Stock Exchange nitakuruhusu upige salute.