Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Viatu vyangu kupata vumbi ni vigumu sana, kwa sababu nikikivaa leo, kukirudia ni mpaka miaka miwili ipite, halafu kikitoka mlangoni nyumbani kinapiga hatua chache kwenda kwenye BMW, kikitoka kwenye BMW, kinapiga hatua chache kuingia ofisini.

Kinachopata tabu labda rubber ya mazoezi kwenye treadmill.

Haya mabuti na vimoka niliacha kuhesabu nilipofikisha 600, kuna vingine hata kuvaa bado sijawahi kuvivaa.

Sasa katika mazingira hayo, vumbi labda kwenye closet, na mimi nyumbani full AC sifungui madirisha, vumbi kufika kwenye closet ni tabu sana.

Just sayin'.
 
Viatu vyangu kupata vumbi ni vigumu sana, kwa sababu nikikivaa leo, kukirudia ni mpaka miaka miwili ipite, halafu kikitoka mlangoni nyumbani kinapiga hatua chache kwenda kwenye BMW, kikitoka kwenye BMW, kinapiga hatua chache kuingia ofisini.

Kinachopata tabu labda rubber ya mazoezi kwenye treadmill.

Haya mabuti na vimoka niliacha kuhesabu nilipofikisha 600, kuna vingine hata kuvaa bado sijawahi kuvivaa.

Sasa katika mazingira hayo, vumbi labda kwenye closet, na mimi nyumbani full AC sifungui madirisha, vumbi kufika kwenye closet ni tabu sana.

Just sayin'.
Mkuu sisi ndio tutakuwa tunavaa mitumba yenu first grade
 
Mkuu sisi ndio tutakuwa tunavaa mitumba yenu first grade
Nilirudi likizo Tanzania na mabegi kama 10 nimewaletea ndugu, jamaa na marafiki, hususan shangazi, mama wadogo na dada zawadi, vi perfume na handbags. Vi suti suti kwa cousins, vi laptops, vi camera vi vikorokoro kibao. Nilitumia kama US $20,000 hivi kwa shopping hiyo, kwa sababu nilikuwa sijarudi nyumbani kitambo, na sikutaka kurudi mikono mitupu kwa wapendwa wangu niliowamiss sana.

Airport Dar wakawa hawataki kukubali kwamba mabegi yote yale zawadi, wakawa wanadai nafanya biashara.

Wangekuwa hawana ujinga kama huo kila mwaka ningekuwa napeleka mzigo, tena si wa kuuza, wa kugawa tu.
 
Nilirudi likizo Tanzania na mabegi kama 10 nimewaletea ndugu, jamaa na marafiki, hususan shangazi, mama wadogo na dada zawadi, vi perfume na handbags. Vi suti suti kwa cousins, vi laptops, vi camera vi vikorokoro kibao. Nilitumia kama US $20,000 hivi kwa shopping hiyo, kwa sababu nilikuwa sijarudi nyumbani kitambo, na sikutaka kurudi mikono mitupu kwa wapendwa wangu niliowamiss sana.

Airport Dar wakawa hawataki kukubali kwamba mabegi yote yale zawadi, wakawa wanadai nafanya biashara.

Wangekuwa hawana ujinga kama huo kila mwaka ningekuwa napeleka mzigo, tena si wa kuuza, wa kugawa tu.
Mkuu salute kwako, at least jf inafanya tupige story na jamii ya watu fulani.
 
Nilirudi likizo Tanzania na mabegi kama 10 nimewaletea ndugu, jamaa na marafiki, hususan shangazi, mama wadogo na dada zawadi, vi perfume na handbags. Vi suti suti kwa cousins, vi laptops, vi camera vi vikorokoro kibao. Nilitumia kama US $20,000 hivi kwa shopping hiyo, kwa sababu nilikuwa sijarudi nyumbani kitambo, na sikutaka kurudi mikono mitupu kwa wapendwa wangu niliowamiss sana.

Airport Dar wakawa hawataki kukubali kwamba mabegi yote yale zawadi, wakawa wanadai nafanya biashara.

Wangekuwa hawana ujinga kama huo kila mwaka ningekuwa napeleka mzigo, tena si wa kuuza, wa kugawa tu.
Sawa muheshimiwa kiduku lilo
 
Back
Top Bottom