Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ooooh nmejifunza kitu
Nashukur kaka....
Huwa najifunza kupitia mitandao namna kumetisha
ukivaa mkanda mweusi lazima kiatu kiwe cheusi
Ukivaa suruali inabidi ifanane na soksi zako
Pia, muonekano wa mtu kupendeza hauangaliwi na gharama za nguo alizovaa bali ni KIATU mfn mtu akivaa suti ya gharama ata milion af chini akitupia kandambili we unahisi atapendeza??!! [emoji23]

Wanasaikolojia wanasema ukikutana na mtu kitu cha kwanza katika mavazi wanachoangalia ni KIATU[emoji148][emoji151][emoji150][emoji152][emoji149] af vinafata vingne, jichunguze ata ww
USHAURI; Jitahidi kuvaa kiatu kizuri kiuhalisia utaonekana umependeza ata ukivaa nguo mtumba ila ukivaa nguo bei ghali af kiatu kibaya au kichafu huwez pendeza
Asante
 
IMG_7023.JPG


Sleepy
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna kipindi niliona watu wanafanyiana hivyo,, sema wenyewe walikuwa wanafanyiana kwa ubaya hadi kuna mtu aliwahi kuanzisha uzi kuwa kuna member ni kinara wa kuedit comments za wenzie mods wamshughulikie.. hata mimi kuna mtu aliwahi kunifanyia hivyo kwa ubaya
Hiyo ni revisheni tu ya jeiefu chit chat enzi hiyo
 
Duh...hiyo sasa ipo tofauti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna kipindi niliona watu wanafanyiana hivyo,, sema wenyewe walikuwa wanafanyiana kwa ubaya hadi kuna mtu aliwahi kuanzisha uzi kuwa kuna member ni kinara wa kuedit comments za wenzie mods wamshughulikie.. hata mimi kuna mtu aliwahi kunifanyia hivyo kwa ubaya
 
Back
Top Bottom