Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jo dear sasa ile miche ikiwa mingi all together mahali pamoja, kawaida mimea jamii ya miti ndio huwa wrapped vile na udongo...

Pia inaweza namaanisha ardhi imelimwa mfano wa bustani (nursery), unapanda hapo miche ya mbegu...

Kuna zitazoota vizuri na kwa ubora utaziamishia shambani, nyingine unazidiscard...

Lemme look for a photo toka online nikuoneshe

Huyu kaaandaa kitalu cha mboga, then zikimea atahamishia shambani...

mkulima.jpg


joanah picha hii hapo


Loh!asa mbona ni usumbufu kupanda vitu mara mbili mbili

Angepanda tu shambani moja kwa moja....halafu mwanzo nilijua kitalu ni chakula 😂😂
 
Naweza kuwa kwenye list yako kweli au ndio sina bahati.
yeah hilo JF nimeliona sana,, mie ninaofahamiana nao hawafiki hata kumi na wote nimefahamiana nao humu humu tu..

Ila twende mbele turudi nyuma pamoja na hii misimamo tuliyojiwekea kuwa hatutaki kukutana na watu wa JF ila kuna watu tu lazima utakuwa umejiwekea ambao hauwezi kuwakatalia

Mfano joanah mwenyewe pamoja na huo msimamo wake amesema Asprin akikubali kuonana naye basi wataonana

Na hata mie pamoja na msimamo wangu huu ila kuna watu wangu wachache sana ambao wakikubali nionane nao basi fresh tu
 
yeah hilo JF nimeliona sana,, mie ninaofahamiana nao hawafiki hata kumi na wote nimefahamiana nao humu humu tu..

Ila twende mbele turudi nyuma pamoja na hii misimamo tuliyojiwekea kuwa hatutaki kukutana na watu wa JF ila kuna watu tu lazima utakuwa umejiwekea ambao hauwezi kuwakatalia

Mfano joanah mwenyewe pamoja na huo msimamo wake amesema Asprin akikubali kuonana naye basi wataonana

Na hata mie pamoja na msimamo wangu huu ila kuna watu wangu wachache sana ambao wakikubali nionane nao basi fresh tu

Hapa penyewe nimetoka kopeshwa
600k. na mwana jf.
 
Mi pia. My better half is from jf...My first internship nilielekezwa na jamaa from jf. Kuna bidhaa na biashara huwa nanunua from members ambao tumejuana humu.

Kikubwa watu wanajistukia hususan wadada. Be real kuna wale wanajikuta wanafake saana wakijulikana uhalisia wao wanakosa confidence ya kuishi humu.

Wana wengi saana tumejuana humu kumbe wengine ni class mate kabisaa tena sometimes tulikuwa hadi n friends.

Changamoto sometimes unaweza kushindwa kueleza mambo yako hususan zile inner problems kutokana na kujulikana. Kitu kama hiki kinafanya usiwe free saaana. So ku avoid soo unajikuta una 'fekero' nadhan mnanielewa nikisema fekero
Maana hall "5" mwenzangu umenena.
 
halafu kuna mtu (me) tunafahamiana aliwahi kukuta nachat na mtu humu (ke) kama tunajuana vile akanifuata inbox kuniuliza kama mimi na huyo dada tunajuana na mimi vyenye akili zangu nazijua mwenyewe nikamuambia ndiyo tunajuana kabisa

Akasema nimtumie namba yake na picha yake nikamuambia siwezi kupa bila ridhaa yake muombe mwenyewe akaniuliza yukoje nikaanza kuelezea yuko hivi na hivi basi ndiyo akazidi kuchanganyikiwa kutaka kumfahamu kumbe wapi mie mwenyewe simfahamu hata robo
Hahahahahaha
Mimi naweza chat na mtu jukwaani kumbe hata pm hatujawahi fika!! Ila ukituona utadhani tunaishi mtaa mmoja
 
Jo dear sasa ile miche ikiwa mingi all together mahali pamoja, kawaida mimea jamii ya miti ndio huwa wrapped vile na udongo...

Pia inaweza namaanisha ardhi imelimwa mfano wa bustani (nursery), unapanda hapo miche ya mbegu...

Kuna zitazoota vizuri na kwa ubora utaziamishia shambani, nyingine unazidiscard...

Lemme look for a photo toka online nikuoneshe

Huyu kaaandaa kitalu cha mboga, then zikimea atahamishia shambani...

mkulima.jpg


joanah picha hii hapo
Ewaaa

Sanchez magoli niambie wapi kitalu changu bana
 
Back
Top Bottom