Hataa sijaona hiyo pichaa mbona
Jo dear sasa ile miche ikiwa mingi all together mahali pamoja, kawaida mimea jamii ya miti ndio huwa wrapped vile na udongo...
Pia inaweza namaanisha ardhi imelimwa mfano wa bustani (nursery), unapanda hapo miche ya mbegu...
Kuna zitazoota vizuri na kwa ubora utaziamishia shambani, nyingine unazidiscard...
Lemme look for a photo toka online nikuoneshe
Huyu kaaandaa kitalu cha mboga, then zikimea atahamishia shambani...
![]()
joanah picha hii hapo
Naweza kuwa kwenye list yako kweli au ndio sina bahati.
yeah hilo JF nimeliona sana,, mie ninaofahamiana nao hawafiki hata kumi na wote nimefahamiana nao humu humu tu..
Ila twende mbele turudi nyuma pamoja na hii misimamo tuliyojiwekea kuwa hatutaki kukutana na watu wa JF ila kuna watu tu lazima utakuwa umejiwekea ambao hauwezi kuwakatalia
Mfano joanah mwenyewe pamoja na huo msimamo wake amesema Asprin akikubali kuonana naye basi wataonana
Na hata mie pamoja na msimamo wangu huu ila kuna watu wangu wachache sana ambao wakikubali nionane nao basi fresh tu
Hatimae yale mijianaume ya ovyo nayoiponda kila siku hapa inaonekana live
yeah hilo JF nimeliona sana,, mie ninaofahamiana nao hawafiki hata kumi na wote nimefahamiana nao humu humu tu..
Ila twende mbele turudi nyuma pamoja na hii misimamo tuliyojiwekea kuwa hatutaki kukutana na watu wa JF ila kuna watu tu lazima utakuwa umejiwekea ambao hauwezi kuwakatalia
Mfano joanah mwenyewe pamoja na huo msimamo wake amesema Asprin akikubali kuonana naye basi wataonana
Na hata mie pamoja na msimamo wangu huu ila kuna watu wangu wachache sana ambao wakikubali nionane nao basi fresh tu
Maana hall "5" mwenzangu umenena.Mi pia. My better half is from jf...My first internship nilielekezwa na jamaa from jf. Kuna bidhaa na biashara huwa nanunua from members ambao tumejuana humu.
Kikubwa watu wanajistukia hususan wadada. Be real kuna wale wanajikuta wanafake saana wakijulikana uhalisia wao wanakosa confidence ya kuishi humu.
Wana wengi saana tumejuana humu kumbe wengine ni class mate kabisaa tena sometimes tulikuwa hadi n friends.
Changamoto sometimes unaweza kushindwa kueleza mambo yako hususan zile inner problems kutokana na kujulikana. Kitu kama hiki kinafanya usiwe free saaana. So ku avoid soo unajikuta una 'fekero' nadhan mnanielewa nikisema fekero
Sister tatizo hawa watu Hawachi hii tabia mbaya ya kuchat bila picha!Bro acha kunizingua.
Kazi njema....Usiku mwema.
Hahahahahahahalafu kuna mtu (me) tunafahamiana aliwahi kukuta nachat na mtu humu (ke) kama tunajuana vile akanifuata inbox kuniuliza kama mimi na huyo dada tunajuana na mimi vyenye akili zangu nazijua mwenyewe nikamuambia ndiyo tunajuana kabisa
Akasema nimtumie namba yake na picha yake nikamuambia siwezi kupa bila ridhaa yake muombe mwenyewe akaniuliza yukoje nikaanza kuelezea yuko hivi na hivi basi ndiyo akazidi kuchanganyikiwa kutaka kumfahamu kumbe wapi mie mwenyewe simfahamu hata robo![]()
Wewe hujuagi utani kabisaa jamanihaha ukuje, unajua jinsi ambavyo sijui matani;
Uje na wafyekaji wa visiki kabisa.
HahahahahahaKwahiyo tutaonana eenh?? Hivi mimi si ndiyo nimetoka kusema siwezi kuonana na mtu yeyote wa JF jamani?? Moyo unanikosea sana aise yaani unashindana na Kichwa khaa![]()
Hatarious
Ahahhahaa kuna mwaka ile hall 2 tulikesha chini ya jengo ilipiga radi moja na upepo mkali saana tukawa tunaona jengo linatingishika watu wakaanza kukimbia wote tukiwa kwenye ngazi kuna vile vidilsha vya vitobo vikawa vinaanguka.Maana hall "5" mwenzangu umenena.
EwaaaJo dear sasa ile miche ikiwa mingi all together mahali pamoja, kawaida mimea jamii ya miti ndio huwa wrapped vile na udongo...
Pia inaweza namaanisha ardhi imelimwa mfano wa bustani (nursery), unapanda hapo miche ya mbegu...
Kuna zitazoota vizuri na kwa ubora utaziamishia shambani, nyingine unazidiscard...
Lemme look for a photo toka online nikuoneshe
Huyu kaaandaa kitalu cha mboga, then zikimea atahamishia shambani...
![]()
joanah picha hii hapo
Kuna mtu anaibiwa hapaUsiku mwema.