Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Anha,kile naonaga kimezungushiwa na mfuko kwa pembeni sijui

Nafikiri ni hiyo

Jo dear sasa ile miche ikiwa mingi all together mahali pamoja, kawaida mimea jamii ya miti ndio huwa wrapped vile na udongo...

Pia inaweza namaanisha ardhi imelimwa mfano wa bustani (nursery), unapanda hapo miche ya mbegu...

Kuna zitazoota vizuri na kwa ubora utaziamishia shambani, nyingine unazidiscard...

Lemme look for a photo toka online nikuoneshe

Huyu kaaandaa kitalu cha mboga, then zikimea atahamishia shambani...

mkulima.jpg


joanah picha hii hapo
 
Mwenyezi Mungu anijaalie msimamo wangu uwe huu huu siku zote,miaka yote hadi nitakapoacha kutumia hii JF

Tatizo la humu unaweza kukutana na lets say ID ya Sakayo Watu8 Karma Depal Hawachi labda na Khantwe

Sasa unakuja kushangaa anayekuja kukuexpose jukwaani ni ID mpya kabisaaaa tofauti na hizo sita ulizowahi kumeet nazo....hapo ndio unapata kizunguzungu unaanza kubet sijui nani kati ya hao atakuwa kanianika?!!

Sasa why upate shida zote hizo?

 
Jo dear sasa ile miche ikiwa mingi all together mahali pamoja, kawaida mimea jamii ya miti ndio huwa wrapped vile na udongo...

Pia inaweza namaanisha ardhi imelimwa mfano wa bustani (nursery), unapanda hapo miche ya mbegu...

Kuna zitazoota vizuri na kwa ubora utaziamishia shambani, nyingine unazidiscard...

Lemme look for a photo toka online nikuoneshe

Iko
Screenshot_20191127-164357.png
 
yeah hilo JF nimeliona sana,, mie ninaofahamiana nao hawafiki hata kumi na wote nimefahamiana nao humu humu tu..

Ila twende mbele turudi nyuma pamoja na hii misimamo tuliyojiwekea kuwa hatutaki kukutana na watu wa JF ila kuna watu tu lazima utakuwa umejiwekea ambao hauwezi kuwakatalia

Mfano joanah mwenyewe pamoja na huo msimamo wake amesema Asprin akikubali kuonana naye basi wataonana

Na hata mie pamoja na msimamo wangu huu ila kuna watu wangu wachache sana ambao wakikubali nionane nao basi fresh tu
Wewe "unajuana" na nani humu Karma ? Like one on one unajuana na nani!!

Binafsi naweza kichitchat na mtu ukija kusoma ukadhani huyu ameshawahi kuwa mchuchu wangu, kumbe hata pm hatujawahi kwenda
 
Yes huwa kama hivi, though hii yako inaonekana ni shamba tayari hapo, maana ni greenhouse ya kienyeji na ishapitishwa mipira ile ya kumwagia maji kwa matone...

Kitalu it's something unatumia tu kuoteshea, then unahamishia kwa shamba...ona nishaweka picha hapo juu

Hataa sijaona hiyo pichaa mbona
 
yeah hilo JF nimeliona sana,, mie ninaofahamiana nao hawafiki hata kumi na wote nimefahamiana nao humu humu tu..

Ila twende mbele turudi nyuma pamoja na hii misimamo tuliyojiwekea kuwa hatutaki kukutana na watu wa JF ila kuna watu tu lazima utakuwa umejiwekea ambao hauwezi kuwakatalia

Mfano joanah mwenyewe pamoja na huo msimamo wake amesema Asprin akikubali kuonana naye basi wataonana

Na hata mie pamoja na msimamo wangu huu ila kuna watu wangu wachache sana ambao wakikubali nionane nao basi fresh tu
Kama nani
 
Ofcourse kuna mkaka mmoja nilikuwaga namuelewa kuanzia tuko form three hadi tunamaliza form six,, halafu nilikuwaga sina hata story naye nilikuwa namuonea aibuwakati miaka yote hiyo minne hatujawahi kusoma madarasa tofauti yaani tulijikuta tunasoma darasa moja hadi tunamaliza..

Na alikuwa back bencher wakati mie nilikuwa front bencher basi alikuwa akija mbele kuniongelesha nilikuwa nahisi kama kamoyo kameruka mapigo kadhaa,, ilikuwaga ni siri yangu ila kuna siku nilijisahau nikawaambia marafiki zangu bwenini nikaja kushituka taarifa zimesambaanikawa nawaza sijui atakuwa kajua..

Lakini hatukuwahi kuambiana chochote,, zaidi ya kuishia kupiga tu story za kawaida za hapa na pale..

Utoto bwana,, siku hizi namuona tu instagram amekuwa a fine young lad not a boy anymore..
Yaaani ukafa na tai shingoni
 
Back
Top Bottom