Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
ndo nimemaliza kusuka sasqPole sana afu Leo nilikuwa mitaa ya kisutu huko
nitakuja kunyoa muda wote huu nimekaa nasuka
ndo nimemaliza kusuka sasqPole sana afu Leo nilikuwa mitaa ya kisutu huko
kweli dear nimeanzaa saa kumi had saa nne ndo zimeishaHizo biashara za kukaa masaa na masaa kusuka zishanishinda.
Nasuka zangu nywele za mkono dkika 15 ,20 nishamaliza.
Yuuuuuh oledeeeeeee????






Jimbo lina mbungeeee tayariiiiii,Wambieni wambienii
Wapunguze kampenii Jimbo lishachululiwa![]()





kwa jina la yesu huyo pepo mchafu aliyekuingilia kinyume na matakwa/fikra atoke saa hii ndan ya mwili wako,Pepo toroka tafadhar







umekua pastor??? Nambie uko kanisa ya location ipi nije kuabudu na kusujudu. HayaJimbo lina mbungeeee tayariiiiii,![]()
Aiseekweli dear nimeanzaa saa kumi had saa nne ndo zimeisha
knotless ndo nimesuka leo
SanaHalafu leo una joto![]()
Mkigomba sie hatumo![]()






tutagombana kisa nn sasa? Bado sanaaaaa. Nipo nai....... World.




, na mie nimoooooookikomwe kimenibebaAisee
Mna moyo😂🙌
Tuone kapicha
Ntajie loc, nikirud dar nije kuvegela hapooo.Depal njoo tupunguze kitambiView attachment 2358780
NakupigiaSana
Hadi kamanda anajua
Kabisa