Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio biashara zilizonishinda hizi😂
Kila siku nafanya mazoezi ya kwenda kazini na kurudi nyumbani
Na hakuna ninachopata.
Umenikumbusha niliachaga kazi mahala sababu nilichoka hivyo hivyo af hela siioni
Sema nilikua na sehemu nyingine naitegemea kuniingizia dolari ndio ilinipa jeuri.
Badae nilivyopata nguvu tena nikatafuta pengine 😂😂
 
Weee kumbeee!! Sijawahi ona selfii yake mbereee kwa katiiiii hebu muite atupie reo nimuoneee mr Vocha aseee!!
Boss lady mbona leo mmenipania hivi?? 🤣🤣🤣🤣🤣 wewe na Anne wako hamfai hata kidogo
 
Umenikumbusha niliachaga kazi mahala sababu nilichoka hivyo hivyo af hela siioni
Sema nilikua na sehemu nyingine naitegemea kuniingizia dolari ndio ilinipa jeuri.
Badae nilivyopata nguvu tena nikatafuta pengine 😂😂
Ukipiga hesabu unaona bora hata ukauze barafu.
Mimi hakuna sehemu yoyote iliyonitia jeuri ila nikiondoka...
Ikafika siku yaani I was tired to the extent I can't work anymore.
 
Ukipiga hesabu unaona bora hata ukauze barafu.
Mimi hakuna sehemu yoyote iliyonitia jeuri ila nikiondoka...
Ikafika siku yaani I was tired to the extent I can't work anymore.
Unakua unatumia energy and resource nyingi zaidi compared na unachoingiza
Unasonga zako mbele kwa imani
 
Hebu selfika namie nikuonepoo mr Vocha usintanieee..... sio kwa masifa yote hayoooo unayomwagiwa na Anne mbona nimepitwaa waliii tupiaaaaa thelfiii tupia thelfiii
Halafu sijui kwanini watu wengi tunaovaa miwani tuna macho mazuri.
Mjep huyo..Jicho la kumtoa nyoka pangoni😂
Bado rangi,Mweupee peee kama Coca.
Mweupe kama roho Yake.
 
Back
Top Bottom