Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Mtatafuta mbele ya safari
Kesho mnaangamizwa😂😂😂
Mtatafuta mbele ya safari
Embu muite basi Nisije kufariki jamanAje akuokoe maana kesho singo wanaangamizwa
Hizo biashara za kukaa masaa na masaa kusuka zishanishinda.nipo nasuka
hadi nimechoka my king
niletee juice
Si utaniwekea ngao wewe hiyo keshoAje akuokoe maana kesho singo wanaangamizwa


Ukufe ukose vocha za Boss Mjep😂Embu muite basi Nisije kufariki jaman
Ah wapi
Nakukodi kwa mudaMtatafuta mbele ya safari
Kesho mnaangamizwa![]()

Nyie wife material huyu hapa 2000 tu anasuka nywele njoo jaman mlete mthunguHizo biashara za kukaa masaa na masaa kusuka zishanishinda.
Nasuka zangu nywele za mkono dkika 15 ,20 nishamaliza.
Mpka sshv vocha bila bila jaman boss yupo wapiUkufe ukose vocha za Boss Mjep![]()




NikupigieHalafu jana nikasema nitakupigia nikasahau

Nimefarijika kuja malkia mrembo embu selfika basi binti tajir mwenye sauti nzuri kama ya yesu



Sauti mtetemoHivi Kawige huwa kanaongeaje?
Sikapatii picha sauti yake ya kusukuma![]()
Tunaomba uselfike🥰🥰Nimekaribia
Kwendraaaa😂Sauti mtetemo
Ukinisikiliza unamaliza
Jana ubao umesoma bila bila Airtel 🥺Mpka sshv vocha bila bila jaman boss yupo wapi![]()
Nimefarijika kuja malkia mrembo embu selfika basi binti tajir mwenye sauti nzuri kama ya yesu![]()



Aaaah nilishaselfika zamani humuTunaomba uselfike![]()


hamna risiti?