Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yule naye 🤣usasa mwingi.

Watu wanajua nina hela...Halafu Samsung nzuri nilibadilishana na Tecno ya mtu.
Nimebaki na kisamsung Cha kuungaunga ila watu bado wanahisi nina Hela😂💔
Unalizungumziaje suala la kutumia simu ambayo haina utambulisho mbele? 🤣🤣
 
Nimesoma aya kwa 1 na 2 kwanza ebu nicheke mie bwahaahaha ! Nilionaa unavotaka kuingiaa nilionaaa

cocastic ashasemaga hakuna id mpyaa humu wee ingia kichwa kichwa ujichanganyeeeee;!
Mie mbona niliwa alert watu humu kabisaaa kuhusu hilo
Namalizia kusomaa !!
Nikuchekesheeee sasa kuna lijamaa la hapa selfika, linanifuatilia kitamboooo na ninalijuaaa haswaaaa,

Likajifanya kuja na ID ake ingnee, afu kumbe mie naijua had anawarubuni watu wengne, na mchapo niliupata kwa, m1 wapo aliyedinyana nae, kaja anajifanya kutaka kuni ovetake mie namchora tyuuh hapo, huku najifanya km naingia kwenye 18 zake, baadae akaanza kuni diss nkamuumbua pale pale nkataja na ID ake ya 3, alikua mdogo km priton, uwiiiiiiiih

Na nkamchana aje na ID yake aliyojiunga 2013 ambayo ndo inafahamika mnooooo, sio hizi za 2016 na 2018. Weraaaaaaaaaaaaaaaah, hakuna ingizo jipyaa hapaaaa,


Epuka kuyakanyaga.
 
Nikuchekesheeee sasa kuna lijamaa la hapa selfika, linanifuatilia kitamboooo na ninalijuaaa haswaaaa,

Likajifanya kuja na ID ake ingnee, afu kumbe mie naijua had anawarubuni watu wengne, na mchapo niliupata kwa, m1 wapo aliyedinyana nae, kaja anajifanya kutaka kuni ovetake mie namchora tyuuh hapo, huku najifanya km naingia kwenye 18 zake, baadae akaanza kuni diss nkamuumbua pale pale nkataja na ID ake ya 3, alikua mdogo km priton, uwiiiiiiiih

Na nkamchana aje na ID yake aliyojiunga 2013 ambayo ndo inafahamika mnooooo, sio hizi za 2016 na 2018. Weraaaaaaaaaaaaaaaah, hakuna ingizo jipyaa hapaaaa,


Epuka kuyakanyaga.
Yule jamaa 🤣🤣🤣 hivi si mpeane muache kufatiliziana hivyo
 
Nikuchekesheeee sasa kuna lijamaa la hapa selfika, linanifuatilia kitamboooo na ninalijuaaa haswaaaa,

Likajifanya kuja na ID ake ingnee, afu kumbe mie naijua had anawarubuni watu wengne, na mchapo niliupata kwa, m1 wapo aliyedinyana nae, kaja anajifanya kutaka kuni ovetake mie namchora tyuuh hapo, huku najifanya km naingia kwenye 18 zake, baadae akaanza kuni diss nkamuumbua pale pale nkataja na ID ake ya 3, alikua mdogo km priton, uwiiiiiiiih

Na nkamchana aje na ID yake aliyojiunga 2013 ambayo ndo inafahamika mnooooo, sio hizi za 2016 na 2018. Weraaaaaaaaaaaaaaaah, hakuna ingizo jipyaa hapaaaa,


Epuka kuyakanyaga.
Weeeee linakufata kutaka nini kwako sasa shost akeee msaganeeeee ama nene shost akee???
Hakuna jipyaaaaa humu ukiukanyaga unauvagaaaa kivyakkkooo shost anguu!!!
Au ukute mwingine anataka kukujua tyu kuthibitisha anayoyasikia labdaaaa
Jf msitu mneneeee!!! Ni kua makuni mnoooo!!
 
cocastic jamaneee nakusubiria sikuoniiiii!! Ubuyu utapoa shoss Angu hebu uje kunipa mie ukute namie nina wa kujaziajaziaaaa .....Do hurry pullliiizzzzzzzzzzzzzzz
Niwacheeeeeeeeeh kwan, kuna mtu alikua ananiimbia "simuachi" by Jux.

Weuweeeeeeeeeee!!! Kupendwaaaaaa rahaaaa afu ile ya dhati sasa, had mwenyewe naogopa na kujistukia.

Utasikia "uko na mimi wee kuwa huru na kuwa utakavyo tunaishi mara 1 tyuuuh". Nyieeeee mniacheeeeeee mie hizo sio shida zanguuu.


 
Nikuchekesheeee sasa kuna lijamaa la hapa selfika, linanifuatilia kitamboooo na ninalijuaaa haswaaaa,

Likajifanya kuja na ID ake ingnee, afu kumbe mie naijua had anawarubuni watu wengne, na mchapo niliupata kwa, m1 wapo aliyedinyana nae, kaja anajifanya kutaka kuni ovetake mie namchora tyuuh hapo, huku najifanya km naingia kwenye 18 zake, baadae akaanza kuni diss nkamuumbua pale pale nkataja na ID ake ya 3, alikua mdogo km priton, uwiiiiiiiih

Na nkamchana aje na ID yake aliyojiunga 2013 ambayo ndo inafahamika mnooooo, sio hizi za 2016 na 2018. Weraaaaaaaaaaaaaaaah, hakuna ingizo jipyaa hapaaaa,


Epuka kuyakanyaga.
Huu umbea bila kufunga codes ni batili.
Nyie Mimi mambo ya nahau na mafumbo nilifeli.

Taja taja taja shossteee
 
Niwacheeeeeeeeeh kwan, kuna mtu alikua ananiimbia "simuachi" by Jux.

Weuweeeeeeeeeee!!! Kupendwaaaaaa rahaaaa afu ile ya dhati sasa, had mwenyewe naogopa na kujistukia.

Utasikia "uko na mimi wee kuwa huru na kuwa utakavyo tunaishi mara 1 tyuuuh". Nyieeeee mniacheeeeeee mie hizo sio shida zanguuu.


Safee sana shost akeeeee Maisha Ndio hayahayaaaaaa Enjoyyyy shost anguu ukishikwa shikamanaaaaaa na uache mawenge yakooooo!!
Sio shida zakooo kabisa shost akeeeee wauweeeehhhhh 💃💃💃😘😘😘😘
 
Nikuchekesheeee sasa kuna lijamaa la hapa selfika, linanifuatilia kitamboooo na ninalijuaaa haswaaaa,

Likajifanya kuja na ID ake ingnee, afu kumbe mie naijua had anawarubuni watu wengne, na mchapo niliupata kwa, m1 wapo aliyedinyana nae, kaja anajifanya kutaka kuni ovetake mie namchora tyuuh hapo, huku najifanya km naingia kwenye 18 zake, baadae akaanza kuni diss nkamuumbua pale pale nkataja na ID ake ya 3, alikua mdogo km priton, uwiiiiiiiih

Na nkamchana aje na ID yake aliyojiunga 2013 ambayo ndo inafahamika mnooooo, sio hizi za 2016 na 2018. Weraaaaaaaaaaaaaaaah, hakuna ingizo jipyaa hapaaaa,


Epuka kuyakanyaga.
Aiseee
 
wapiiiiiiiih
Nyota za mikosiiiiii shostiiieeeeee akeeeeee!!!!! Ngoja nikaogeee maji ya bahari nisafishe nyoitaaaaa💃💃💃🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸
Weraaaaaaaaaahhhh
 
Back
Top Bottom