Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee umeangalia status? Huyo cuzoo amescreeshot status ya bae wake kaweka kwake..

Mama mtu nimesoma hadi nimesmile 🤣🤣🤣
Ni essay ya maloveee aloooh
Ni hatari kwa masingo 😂😂😂 Lenie
Nilikua busy huku simu niliitelekeza, ngoja nikaangalie 😂
 
Alivyojaribu tu kubadili Jina,Jina lake likachukuliwa na mtu mwingine😂

Kuja kurudisha ikashindikana.
Nikuchekeshe Sasa; Siku moja Sina hili Wala lile nikaingia zangu selfika Kama kawaida Kuna mdau akaniomba niweke picha,nikaona isiwe kesi nikatupia..mara naona I'd Antonnia na ka avatar fulani ka mdada amazing,km kawaida I'd ikaanza kumwaga sifa kedekede na mwandiko wa Antonnia so unaujua anavyotia mbwbwe😅 nikasema kwa sifa hizi za ingizo jipya mbona Kama nataka kujiokotea embe kwenye mfenesi hahahaha

nikaanza kujichangamsha nikijichekesha napiga ndogondogo ili aingie kingi vizuri iwe Kama nampiga teke mlevi ,alafu Kuna wahuni wakawa wananijaza Sana wengine wanampanga ooh mkubali mwana😅,km ujuavyo mkiwa mnachati humu ndani utani mwingi😅..Cha ajabu Antonnia ananiambia acha hizo satoh,Mimi Sina haja na wanaume wa jf Sasa hivi,nikasema eboo kwani mbn Kama nachati na mwenye mji wake humu..nikaklick username nakuta I'd ilikuwepo tangu 2013 nikacheka Sana na kujiona fala

Ila bado nikajiuliza huyu Ni Nani Sasa,nikaanza kutrace history ya alimopita nikakuta mtu kamquote siku kadhaa huko nyuma na jina linasoma mahondaw nikazidi kunyong'onyea hahahah nikasema jf unaweza kumtongoza ndugu yako hivihivi asee,Mimi wa kumwimbisha mahondaw Antonnia kweli??..Ghafla paap nikabadili mwelekeo wa stori kumbe nishamjua tyr na yeye nadhani alijua nafanya utani tu kumbe I'd mpya ili nichanganya kiukweli..nikajiona fala😅
 
Nimefika 37 na sijachoka snaa
Naendelea kuchoshwaa

Mitano tena kwa mapenziii
Nimekaa hapo.. Hiyo 37 utafika huku unatambaaa na ulimi nje 🤠🤠🤠🤠 mtoto mzuri kama wewe hutakiwa kuwa na stress za mapenzi.. Una opt kibao yani ng'ombe kabisa
 
Depal National Anthem
Kwa leo nimemalizana na mambo ya mapenzi, wacha sasa nikatafute pilau nile nishibe then nihamie jukwaa la siasa niilaumu serikali
Mind youuu
All of the chats was chitchats na majadiliano ya kujengana…

Ukijikonekti na shida zako inakula kwako 😂😂😂

Me mwenyewe narudi kwenye ile kazi uliyonistopisha huku Nasubiria National Anthem aninunulie nyonyoma wake wali na mchicha


Alamsikiiii
Ngoja nimpigie simu babe wangu

Ila kuweni makini na mapendhii 😭
 
Mind youuu
All of the chats was chitchats na majadiliano ya kujengana…

Ukijikonekti na shida zako inakula kwako 😂😂😂

Me mwenyewe narudi kwenye ile kazi uliyonistopisha huku Nasubiria National Anthem aninunulie nyonyoma wake wali na mchicha


Alamsikiiii
Ngoja nimpigie simu babe wangu

Ila kuweni makini na mapendhii 😭
Sweetheart, I love you 😍 kwa moyo wangu wote.. Msalimke mtoto wangu kipenzi muambie baba yupo njiani anakuja.. Lini tufanye party ya kutimiza miaka miwili 😘😘
 
Nikuchekeshe Sasa; Siku moja Sina hili Wala lile nikaingia zangu selfika Kama kawaida Kuna mdau akaniomba niweke picha,nikaona isiwe kesi nikatupia..mara naona I'd Antonnia na ka avatar fulani ka mdada amazing,km kawaida I'd ikaanza kumwaga sifa kedekede na mwandiko wa Antonnia so unaujua anavyotia mbwbwe😅 nikasema kwa sifa hizi za ingizo jipya mbona Kama nataka kujiokotea embe kwenye mfenesi hahahaha

nikaanza kujichangamsha nikijichekesha napiga ndogondogo ili aingie kingi vizuri iwe Kama nampiga teke mlevi ,alafu Kuna wahuni wakawa wananijaza Sana wengine wanampanga ooh mkubali mwana😅,km ujuavyo mkiwa mnachati humu ndani utani mwingi😅..Cha ajabu Antonnia ananiambia acha hizo satoh,Mimi Sina haja na wanaume wa jf Sasa hivi,nikasema eboo kwani mbn Kama nachati na mwenye mji wake humu..nikaklick username nakuta I'd ilikuwepo tangu 2013 nikacheka Sana na kujiona fala

Ila bado nikajiuliza huyu Ni Nani Sasa,nikaanza kutrace history ya alimopita nikakuta mtu kamquote siku kadhaa huko nyuma na jina linasoma mahondaw nikazidi kunyong'onyea hahahah nikasema jf unaweza kumtongoza ndugu yako hivihivi asee,Mimi wa kumwimbisha mahondaw Antonnia kweli??..Ghafla paap nikabadili mwelekeo wa stori kumbe nishamjua tyr na yeye nadhani alijua nafanya utani tu kumbe I'd mpya ili nichanganya kiukweli..nikajiona fala😅
Nimesoma aya kwa 1 na 2 kwanza ebu nicheke mie bwahaahaha ! Nilionaa unavotaka kuingiaa nilionaaa 🤣🤣🤣🤣🤣

cocastic ashasemaga hakuna id mpyaa humu wee ingia kichwa kichwa ujichanganyeeeee;!
Mie mbona niliwa alert watu humu kabisaaa kuhusu hilo
Namalizia kusomaa 🤣🤣🤣😂😂😂!!
 
Kama umesikia hizo sio shida zanguuuu!! kutaka kujua what happened pia mie naona hayanihusuuuu!! Kila la kheri katika kupata hizo taarifa mkuu hakuna kabayaaa. Enjoy the News!!!
Nimesikia na nimeweka kisa changu Cha kuchekesha..muwe mnasema mkibadili I'd basi

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20220915_123533.jpg
 
Nikuchekeshe Sasa; Siku moja Sina hili Wala lile nikaingia zangu selfika Kama kawaida Kuna mdau akaniomba niweke picha,nikaona isiwe kesi nikatupia..mara naona I'd Antonnia na ka avatar fulani ka mdada amazing,km kawaida I'd ikaanza kumwaga sifa kedekede na mwandiko wa Antonnia so unaujua anavyotia mbwbwe😅 nikasema kwa sifa hizi za ingizo jipya mbona Kama nataka kujiokotea embe kwenye mfenesi hahahaha

nikaanza kujichangamsha nikijichekesha napiga ndogondogo ili aingie kingi vizuri iwe Kama nampiga teke mlevi ,alafu Kuna wahuni wakawa wananijaza Sana wengine wanampanga ooh mkubali mwana😅,km ujuavyo mkiwa mnachati humu ndani utani mwingi😅..Cha ajabu Antonnia ananiambia acha hizo satoh,Mimi Sina haja na wanaume wa jf Sasa hivi,nikasema eboo kwani mbn Kama nachati na mwenye mji wake humu..nikaklick username nakuta I'd ilikuwepo tangu 2013 nikacheka Sana na kujiona fala

Ila bado nikajiuliza huyu Ni Nani Sasa,nikaanza kutrace history ya alimopita nikakuta mtu kamquote siku kadhaa huko nyuma na jina linasoma mahondaw nikazidi kunyong'onyea hahahah nikasema jf unaweza kumtongoza ndugu yako hivihivi asee,Mimi wa kumwimbisha mahondaw Antonnia kweli??..Ghafla paap nikabadili mwelekeo wa stori kumbe nishamjua tyr na yeye nadhani alijua nafanya utani tu kumbe I'd mpya ili nichanganya kiukweli..nikajiona fala😅
"Mwenye mji wake humuu"🤣🤣🤣🤣😂😂!!
Nacheka kama Chizi ujueee!!! Hukujua kama ni kikongwe aliekubuhu kabisa jf anijua vilivooooooo watu wote anawajua kuliko wamjuavyoooo🤣🤣🤣🤣🤣 !!!
Naendelea kusoma 🤭🤭
 
Mind youuu
All of the chats was chitchats na majadiliano ya kujengana…

Ukijikonekti na shida zako inakula kwako 😂😂😂

Me mwenyewe narudi kwenye ile kazi uliyonistopisha huku Nasubiria National Anthem aninunulie nyonyoma wake wali na mchicha


Alamsikiiii
Ngoja nimpigie simu babe wangu

Ila kuweni makini na mapendhii 😭
Last sentence 🤣🤣🤣
Imalizie ile kazi chap ule af twende siasani tukalalamike kuhusu tozo.
Tukitoka hapo jioni hyo siku imeisha
 
Nikuchekeshe Sasa; Siku moja Sina hili Wala lile nikaingia zangu selfika Kama kawaida Kuna mdau akaniomba niweke picha,nikaona isiwe kesi nikatupia..mara naona I'd Antonnia na ka avatar fulani ka mdada amazing,km kawaida I'd ikaanza kumwaga sifa kedekede na mwandiko wa Antonnia so unaujua anavyotia mbwbwe😅 nikasema kwa sifa hizi za ingizo jipya mbona Kama nataka kujiokotea embe kwenye mfenesi hahahaha

nikaanza kujichangamsha nikijichekesha napiga ndogondogo ili aingie kingi vizuri iwe Kama nampiga teke mlevi ,alafu Kuna wahuni wakawa wananijaza Sana wengine wanampanga ooh mkubali mwana😅,km ujuavyo mkiwa mnachati humu ndani utani mwingi😅..Cha ajabu Antonnia ananiambia acha hizo satoh,Mimi Sina haja na wanaume wa jf Sasa hivi,nikasema eboo kwani mbn Kama nachati na mwenye mji wake humu..nikaklick username nakuta I'd ilikuwepo tangu 2013 nikacheka Sana na kujiona fala

Ila bado nikajiuliza huyu Ni Nani Sasa,nikaanza kutrace history ya alimopita nikakuta mtu kamquote siku kadhaa huko nyuma na jina linasoma mahondaw nikazidi kunyong'onyea hahahah nikasema jf unaweza kumtongoza ndugu yako hivihivi asee,Mimi wa kumwimbisha mahondaw Antonnia kweli??..Ghafla paap nikabadili mwelekeo wa stori kumbe nishamjua tyr na yeye nadhani alijua nafanya utani tu kumbe I'd mpya ili nichanganya kiukweli..nikajiona fala😅
Nimecheka kifala
 
Back
Top Bottom