Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi sitabadili avatar mie humu
We Depal kubadili badili avatar unashusha nyota ujue, uache hyo tabia
Nabadiliii
Tena naweka ambayo itawafanya mukae muanze kuweka vikao 😂😂😂

Muje na matipo kuijadili
Na zitakuwa ni shida zenu
Wazee wa kuteseka na yasio wahusu 😂😂😂
 
Sanaa

Famous kiasi kwamba Ukiwa unatype tu hata avatar yako mtu anajua lenie is typing...

Ila mdogo wako Depal anabadili Sana avatar km National Anthem Ni ngumu kutambua akiwa anatype ila I'd yake ni maarufu km yako

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sina hata wiki nabadilisha id, ukiona mkojo wa kuku ujue ndio ID mpya.. Sikaagi na ID aisee
 
Nabadiliii
Tena naweka ambayo itawafanya mukae muanze kuweka vikao 😂😂😂

Muje na matipo kuijadili
Na zitakuwa ni shida zenu
Wazee wa kuteseka na yasio wahusu 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Ila didi ake umekaa kishari shari ujue

Asa mambo ya kukujadili sijui vikao yametoka wapi lakini.
Mbona unakua na uswahili hivo akati unakaa ushuani
 
Chafya ya konokono

😂🤣
I love you 💕💞
Screenshot_20220915_130642.jpg
 
🤣🤣🤣🤣
Ila didi ake umekaa kishari shari ujue

Asa mambo ya kukujadili sijui vikao yametoka wapi lakini.
Mbona unakua na uswahili hivo akati unakaa ushuani
Si hao mnaokaa nao wanakuja kuniambia 😂😂 eti sijui avatar yangu inafanana na ya memba mwingine.. sasa inawahusu nini?


Mimi ni mshua with full of uswahili lkn sio wa kishamba 🤗

Sema next month nitakuwa mshua full full
 
Si alizembea mwenyewe
Akajikoroga kubadili

Tukamlilia sana akakataa...
Kumbe punde si punde wahuni wakamlia timing.
Unajua kuna watu Ni maarufu sn humu mmoja wao ni huyo Antonnia kupitia ile I'd yake ya zamani.Na endapo ingekuwa jf unatambulika kwa email km Twitter Nina uhakika Kuna IDs maaraufu zingepata maparody,wahuni wangeweka avatar na username km wewe Kumbe parody,ila huku ukijaribu kujiita Satoh Hirosh unaambiwa 'this username has already taken' unajikuta huwezi kujiita Hilo jina

Huyo anttonia alifanya kosa kubwa sn kujaribisha kubadili ,mtu akatembea na hilo jina makusudi alfu katulia tuliii

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Si hao mnaokaa nao wanakuja kuniambia 😂😂 eti sijui avatar yangu inafanana na ya memba mwingine.. sasa inawahusu nini?


Mimi ni mshua with full of uswahili lkn sio wa kishamba 🤗

Sema next month nitakuwa mshua full full
Hao watu nao mafriji yao hayagandishi kha 🤣🤣

Nasubiria hiyo next month nikuone kama utabadilika kweli.
Kuhusu wa kishua aah hilo linajulikana, halipingiki
 
Back
Top Bottom