Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
🤣🤣 una madharau eeMnatuchukuliaje watu wa Tecno jamani😂💔
Infinix wamama?akiyanani.. Kumbe nilikuwa mama.
Ila katika simu zote,Itel hata bure sichukui.
Hujui tekno, infinix na itel ni wamoja
🤣🤣 una madharau eeMnatuchukuliaje watu wa Tecno jamani😂💔
Infinix wamama?akiyanani.. Kumbe nilikuwa mama.
Ila katika simu zote,Itel hata bure sichukui.
Wee usintanieeee....!! Since when who which??? Uleteeee uleteeeee!!nimekatazwaaaaa umbeaaaaa.
Wauweeeeeeeeeeeeeeee!!!!!! Dearacha tuongee tu hapa ndo uwanja wetu wa kujieleza .
hatuna mashost wa kuhadithia .. kama vile slogan ya Jf inavyosema .
kukaa na mambo moyoni sio poa ... ndo ulcers zinanzia hapa , time is the best healer , tutaongea hapa end of the day tutasahau
Acha utani!🤣🤣 una madharau ee
Hujui tekno, infinix na itel ni wamoja
Hapo kataquote comments zote za Jana.Wee usintanieeee....!! Since when who which??? Uleteeee uleteeeee!!
Bosii mavu kunukaaa!! Mwambie Alikosa na naked zako mattatta sana!!!We Coca Jana umemchomesha mahindi Boss wetu wa dunia Boss leidee
Humu ndani siku nitawaletea Kimbembe mchambane naye.
Atawachamba Hadi mshangae![]()







kuna mtu alisema mie na kimbembe ni hiviiiiiiiiiCoca lazima alipe fidia ya kunuchomesha mahindi Mkemia wetu Mkuu.Bosii mavu kunukaaa!! Alikosa na naked zako mattatta sana!!!
Au una undugu naye Shostee😁kuna mtu alisema mie na kimbembe ni hiviiiiiiiii
Kabisaaa sikubareeeeee!Coca lazima alipe fidia ya kunuchomesha mahindi Mkemia wetu Mkuu.
Nilikuwa nimesinzia jirani...huku shambani ukiegemea mti unalala 😀 😀Abee jirani kipenzi 🤣🤣
Nikuchekeshe Sasa; Siku moja Sina hili Wala lile nikaingia zangu selfika Kama kawaida Kuna mdau akaniomba niweke picha,nikaona isiwe kesi nikatupia..mara naona I'd Antonnia na ka avatar fulani ka mdada amazing,km kawaida I'd ikaanza kumwaga sifa kedekede na mwandiko wa Antonnia so unaujua anavyotia mbwbwenikasema kwa sifa hizi za ingizo jipya mbona Kama nataka kujiokotea embe kwenye mfenesi hahahaha
nikaanza kujichangamsha nikijichekesha napiga ndogondogo ili aingie kingi vizuri iwe Kama nampiga teke mlevi ,alafu Kuna wahuni wakawa wananijaza Sana wengine wanampanga ooh mkubali mwana,km ujuavyo mkiwa mnachati humu ndani utani mwingi
..Cha ajabu Antonnia ananiambia acha hizo satoh,Mimi Sina haja na wanaume wa jf Sasa hivi,nikasema eboo kwani mbn Kama nachati na mwenye mji wake humu..nikaklick username nakuta I'd ilikuwepo tangu 2013 nikacheka Sana na kujiona fala
Ila bado nikajiuliza huyu Ni Nani Sasa,nikaanza kutrace history ya alimopita nikakuta mtu kamquote siku kadhaa huko nyuma na jina linasoma mahondaw nikazidi kunyong'onyea hahahah nikasema jf unaweza kumtongoza ndugu yako hivihivi asee,Mimi wa kumwimbisha mahondaw Antonnia kweli??..Ghafla paap nikabadili mwelekeo wa stori kumbe nishamjua tyr na yeye nadhani alijua nafanya utani tu kumbe I'd mpya ili nichanganya kiukweli..nikajiona fala![]()






wengine wanakuja na ID mpya PM, huwa nawaumbuaga kabisaaaaa,Weeee.....!!. Sio wote. Sisi wa mashambani tuko vizuri.Kuna uzi huko ndio umenipa hilo swali…
Wanaume wana tabia mbaya sana
🤣🤣🤣 pamoja na kujua kuwa ukiegemea tu mti unalala bado ukaendelea kuegemea?Nilikuwa nimesinzia jirani...huku shambani ukiegemea mti unalala 😀 😀
Hongereni jirani, muendelee kuwa vizuri 💗Weeee.....!!. Sio wote. Sisi wa mashambani tuko vizuri.
Hakuna viti huku jirani....🤣🤣🤣 pamoja na kujua kuwa ukiegemea tu mti unalala bado ukaendelea kuegemea?
Mweee 😁Acha utani!
Itel siyo simu
Uwe unakaa chiniHakuna viti huku jirani....
mambo shosti ?Wauweeeeeeeeeeeeeeee!!!!!! Dear
Mwanaume anataraji furaha tu kutoka kwa mwanamkeEmu basi tutajieni vitu gani uwa mnashikikaa
1. Utulivu na utu
2. Usikivu.. mkikataza kitu tukatazike, mkiomba mpewe..
3. Endelea kutaja