Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lizzy
Screenshot_20220916_105119_com.google.android.youtube_edit_136362980959400.jpg
 
Unaweza ukachagua kumbe yeye hakuelewi mwanaume yuko makini kwenye hiyo sekta kuna vitu anavyo viangalia ukigundua ndo utamshika
Emu basi tutajieni vitu gani uwa mnashikikaa

1. Utulivu na utu
2. Usikivu.. mkikataza kitu tukatazike, mkiomba mpewe..
3. Endelea kutaja
 
Sikubaliani

Nilishawahi kuwa na ka vivo
Nilikanunua sababu kalikuwa kadogo dogo kepesi.. sijawahi kupenda simu nzito.

Kuna mama hapa ofisini ana oppo

Saint Anne ana samsung na hela bado hajakutana nazo 😂

Xiaomi hujatuweka 😂😂😂
Hii Samsung inabidi niigawe,
Nibaki na Tecno.

Yawezekana ndio maana sipati hela maana watu wanahisi tayari nina Hela🤣
 
Hii Samsung inabidi niigawe,
Nibaki na Tecno.

Yawezekana ndio maana sipati hela maana watu wanahisi tayari nina Hela🤣
Kd alisema hapendi A series 7bu chata Samsung limewekwa nyuma 🤣🤣🤣


Wanadhani unazo hawakupi madeal 🤣🤣
 
Kd alisema hapendi A series 7bu chata Samsung limewekwa nyuma 🤣🤣🤣


Wanadhani unazo hawakupi madeal 🤣🤣
Yule naye 🤣usasa mwingi.

Watu wanajua nina hela...Halafu Samsung nzuri nilibadilishana na Tecno ya mtu.
Nimebaki na kisamsung Cha kuungaunga ila watu bado wanahisi nina Hela😂💔
 
Nimekuja shoganguuuuu nakuja tsup sasahiviiii nile ubuyuu mieeee... unafiki mbona ndio pakeee shost anguu ttyunaishi humohumooooo tyuu!! Tenaaaa nna hamu nao hatareeeee!! Waleteeeee waleteeeeeeeeeeeeee shosteeeeeeee!!!!
Nipo kule nakusubiri kipendhiiii
Yuuuuh oledeeeee????

Nikuchachueeeee!!!!!!!
 
Back
Top Bottom