Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo kwanza inatakiwa ujue no one is perfect as unamuona John chapombe ila wewe hujioni kama ni mvivu au una tabia zingine za ajabu.

Navyoona ni vema ukawa na yule ambaye changamoto zake unaweza kuzibeba mkakaa mkaongea kila mtu akamuweka wazi mwenzake madhaifu yake then maisha yanasonga.

Maana tukisema tutafute yule ambaye ni full package (tall, dark, handsome, romantic, ananukia vizuri 😛 bila kusahau acc imetuna hana stress za tozo😅) alooo utajikuta kila mtu unamuona hafai sasa mwisho wa siku unaamua tu liwalo na liwe.
🤣🤣🤣🤣 you nailed it 🔥
 
kuna mtu kanikatazaaa umbea, cha ajabu sasa umbea unanifata wenyewee na una nitiiiii.

Tulia kwanzaaaaaa.
Mbonaaaa nimetuliaaa Hakyanani kupatwa kwa cocasticccc🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Sasa hakujua wee mafia mdeadly ulieshindikana kabisaaaa alipatajee ujasiri kufata hiko kichwaa mbovu Akili zako unaezijua mwenyeweeee hahahahah!!
 
So tunapaswa tuifate necha? Got you dada


So unatushaurije wale ambao we meet guys ambao tunaona kabisa they don’t meet our vigezo?

Tusiwaache? Alisema Alexprosper kwamba mwanamke anatakiwa akae hapo asubirie mume aje…

Sasa ndio ukazaliwa na nyota ya paka, wanaokufata we huwataki? Tunachomokaje hapo?
Nature iko hvyoand we can't change

Then kwenye machaguoa hakuna mkamilifu my dear,angalia Kati ya zile amekidhi ngapi?we unahitaji Nini ?maana ukitaka mwenye vyote hayupo
Na kukaa kumsubiri kwa Sasa ni wachache wanapatikana kwa staili hyo,waweza ukawa upo jf kumbe ndo wako Mungu amekupangia umpate humu hvyoo,so popote mpenzi wa kweli anapatikana muhimu bi masharti na vigezo ,ukiona hakidhi we mteme tuuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ni sahihi mwanaume ni kichwa cha familia.

Ila hapo kwa mwanaume ameumbiwa wanawake wengi naona kama tunawaendekeza na kukubali kukandamizwa sababu kuna mifano mizuri ya wanaume ambao ni wameweza kutulia na mwanamke mmoja na wamekua waaminifu.
Wapo Ila wachache Sana kwa hizi life zetu hizi!
Yaani na kuwapata ni 1 Kati ya 10000 aseehh!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nature iko hvyoand we can't change

Then kwenye machaguoa hakuna mkamilifu my dear,angalia Kati ya zile amekidhi ngapi?we unahitaji Nini ?maana ukitaka mwenye vyote hayupo
Na kukaa kumsubiri kwa Sasa ni wachache wanapatikana kwa staili hyo,waweza ukawa upo jf kumbe ndo wako Mungu amekupangia umpate humu hvyoo,so popote mpenzi wa kweli anapatikana muhimu bi masharti na vigezo ,ukiona hakidhi we mteme tuuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Clapping for your bright mind 👏
 
Nothing behind.. kuna uzi nimesoma ndio umenipa hilo swali…

Mtu kaandika eti wanaume tusioe.. wanamkubalia hapo weee

Na wakati mimi kwa huu mwaka tu nishachangia harusi 4 na Nov nina nyingine.. sasa hao wanaooa ni kina nani? Hawaijui jf ambayo inawaambia wasioe?
Wasiooa ni wa jf Ila mitaani km kawaaa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom