Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha tu.

Kuna kipindi ilikuwa inafika nakuwa Sina hata Hela ya kula, boom loote nimekopesha😂
Nyumbani wakaniambia wewe ni mpumbavu.

Nikiwa nikichukua hela zote namtumia mama.
Ananipa ya kutumia kila wiki.


Unajibana kula wali wa buku,unamhurumia mtu unamkopea elfu 10..badala ajibane ale chakula Cha buku siku 5 ,yeye anarudi na Chips yai mishkaki soda...Uliyempa hela unakula wali maharage.
Halafu kesho anakuja tena kuomba hela imeisha.
Kha jamani walikuwa wankuonea
Mimi sipendi hivyo
 
Acha tu.

Kuna kipindi ilikuwa inafika nakuwa Sina hata Hela ya kula, boom loote nimekopesha😂
Nyumbani wakaniambia wewe ni mpumbavu.

Nikiwa nikichukua hela zote namtumia mama.
Ananipa ya kutumia kila wiki.


Unajibana kula wali wa buku,unamhurumia mtu unamkopea elfu 10..badala ajibane ale chakula Cha buku siku 5 ,yeye anarudi na Chips yai mishkaki soda...Uliyempa hela unakula wali maharage.
Halafu kesho anakuja tena kuomba hela imeisha.
Safi kabisa, endelea na moyo huo huo.. 😉😉😉
 
Usiwape , wanyime dah maana sio poa .. uwe na kauchoyo kidogo .

Yaani mimi sizoeleki na mashoga sina 😂
Mimi sina mashoga.
Nikipita sehemu ni Salamu tu na Sinaga maneno.

Sasa sijui sura yangu imekaa kipole sana😂.
Yaani mtu akiniona huwa anakuwa comfortable kunieleza shida yake na huwa nasikiliza.
 
Mimi sina mashoga.
Nikipita sehemu ni Salamu tu na Sinaga maneno.

Sasa sijui sura yangu imekaa kipole sana😂.
Yaani mtu akiniona huwa anakuwa comfortable kunieleza shida yake na huwa nasikiliza.
Eeh wanakuwa washakuzoea hao
Mimi ninayo ya upole sema I'm not friendly sometimes .

Wape lakini usitoe yote baki na kidogo chako . Kama unayo nyingi ndo utoe .
 
Screenshot 2022-09-13 161246.png
 
Hahhaa usimpangie matumizi ya hela yake; hata kama ni mkopo🤣🤣🤣
Shida siyo kumpangia.
Shida ni anaitumia anamaliza na anakuja tena kuomba.

Sasa mtu huna hela na matumizi hujui..Mtu anakupa hela,basi hata utumie vizuri na kama ukitumia vibaya basi uwe na uhakika wa kupata nyingine.
Huna uhakika wa kushika hela halafu unatumia vibaya aisee ni upumbavu 😂
Halafu mnaanza kula anawashangaa usoni..njaa inamuuma.
 
Back
Top Bottom