Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekumbuka kuna mtu aliweka nudes status 🤣 haya haya mambo ya kuchanganya files…

Nashangaa mtu ananipigia D njoo kwangu, naenda namkuta kawa mwekundu balaa.. namuuliza vp? Akanambia kwani hujaview status yangu?
Nikamwambia bado, ila kwakuwa nna wasap gb nitaona tu hata baadae..


Ndio akaanza kulia masikini,, namuuliza vp ? Si ndio kusema nilikuwa namtumia babe pics nimetouch vibaya zimekuja status 🤣🤣🤣
Kwanza nilicheka 😂😂😂
Pili nikamwambia omba msamaha huko status then un istall wasap, kisha vunga like nothing happened..

Ikafata kazi ya kumbembeleza 😃😃
Uwiiiii ningezimia nikufwe kabisa🤣🤣

Hata sitaki kuimagine alifeel vipi maskini, hizi mambo za kuchanganya mafile sio kabisa

Mwenyew niliwah post status picha ambayo nilitakiwa nimtumie mtu, sasa nashangaa mbona hajibu na alikua online mida hiyo, nikasema nicheki labda haijaenda hee nakuta chat haina picha wee nilishtukaa😂
Bahati nzuri haikua picha mbaya
 
Uwiiiii ningezimia nikufwe kabisa🤣🤣

Hata sitaki kuimagine alifeel vipi maskini, hizi mambo za kuchanganya mafile sio kabisa

Mwenyew niliwah post status picha ambayo nilitakiwa nimtumie mtu, sasa nashangaa mbona hajibu na alikua online mida hiyo, nikasema nicheki labda haijaenda hee nakuta chat haina picha wee nilishtukaa😂
Bahati nzuri haikua picha mbaya
Msela mmoja fundi pikipiki aliwahi kupost status pic ya ub** , lengo ilikuwa ni kumtumia manzi mwanamke wake ambae walikuwa wana videocall.

Yeye alupost pic na description kabisa akidhani anaisindikiza pic na maneno kumbe kitu kinaenda viral, na alitulia muda mrefu bila kuifuta mpaka alipokuja kupigiwa na ndugu kuuliza imekuwaje ndo akashituka, kilichokuja kuharibu sikuhizi ni GB tsup hizi😂😂.
 
IMG_20220718_232112.jpg
 
Ballaaa ,Kuna msasani uswazi hatari inaungana na mikocheni B huku uswahilini mafuriko Kama yote,yaani vijumba vya kizamani mnooo...

Mi nakumbuka aunt yangu alikua anakaa Mikochenk B unashuka may fair ukiingia huko ndaniutakufwa yaani ni slums tupuuu!
Dar uzunguni ni Masaki,na Obey tuuu!kungine uswazi kama kawa
nlikua hata sijui mie lol.
 
Nimekumbuka kuna mtu aliweka nudes status 🤣 haya haya mambo ya kuchanganya files…

Nashangaa mtu ananipigia D njoo kwangu, naenda namkuta kawa mwekundu balaa.. namuuliza vp? Akanambia kwani hujaview status yangu?
Nikamwambia bado, ila kwakuwa nna wasap gb nitaona tu hata baadae..


Ndio akaanza kulia masikini,, namuuliza vp ? Si ndio kusema nilikuwa namtumia babe pics nimetouch vibaya zimekuja status 🤣🤣🤣
Kwanza nilicheka 😂😂😂
Pili nikamwambia omba msamaha huko status then un istall wasap, kisha vunga like nothing happened..

Ikafata kazi ya kumbembeleza 😃😃
Aisee
 
Ballaaa ,Kuna msasani uswazi hatari inaungana na mikocheni B huku uswahilini mafuriko Kama yote,yaani vijumba vya kizamani mnooo...

Mi nakumbuka aunt yangu alikua anakaa Mikochenk B unashuka may fair ukiingia huko ndaniutakufwa yaani ni slums tupuuu!
Dar uzunguni ni Masaki,na Obey tuuu!kungine uswazi kama kawa
Ni mikocheni A na sio B maana uswazi msasani inaanzia magunia mwisho kule kwa wahaya!
 
Msela mmoja fundi pikipiki aliwahi kupost status pic ya ub** , lengo ilikuwa ni kumtumia manzi mwanamke wake ambae walikuwa wana videocall.

Yeye alupost pic na description kabisa akidhani anaisindikiza pic na maneno kumbe kitu kinaenda viral, na alitulia muda mrefu bila kuifuta mpaka alipokuja kupigiwa na ndugu kuuliza imekuwaje ndo akashituka, kilichokuja kuharibu sikuhizi ni GB tsup hizi😂😂.
Maskini🤣🤣🤣
Unaweza tamani ardhi ipasuke udumbukie huko upotelee mbali sio kwa hayo maswahibu

Hizo GB wasapu sio kabisa na wanaotumia ni wakuda sana😂
 
Back
Top Bottom