Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Eh sidhani na zipo nyingi Fm WhatsApp piaBora wazifunge tu maana wengine wanazitumia vibaya
Eeh pole, itakua ulichoka sana
Asante nilichoka siku hiyo ..
Eh sidhani na zipo nyingi Fm WhatsApp piaBora wazifunge tu maana wengine wanazitumia vibaya
Eeh pole, itakua ulichoka sana
Watu wanaishiiii
Wengine wanavuta tu pumzi![]()




nimeingia ndani badala nikae nawaza hapa nisije fanywa msukule, sio kwa mansion ile khaaaah.nlikua hata sijui mie lol.

pole Ila wengi sa hv wameuza uza wanabai wabishi tu kule wanaokomaa na jijiSafi, mzima?Mambo dear
Ndio me mzimaSafi, mzima?
Usiku mwema dear, tupumzishe haya mafuvu.Ndio me mzima
SawA dear kwako piaUsiku mwema dear, tupumzishe haya mafuvu.
Ng'ombe ninao wa kutosha mzee
Good morning beautifulGood morning lovers
Habari za asubui lovers
Bonjour
Dela gawiza![]()
How was your night Mr Mjep,?!Good morning beautiful
Ulikua mzuri tu mdogo wanguHow was your night Mr Mjep,?!
Ndio ulikua poa kabisaUlikua mzuri tu mdogo wangu
Bila shaka nawe usiku wako umekua poa?
Ng'wangaloka...Good morning lovers
Habari za asubui lovers
Bonjour
Dela gawiza![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yaani wewe umenichekeshanimeingia ndani badala nikae nawaza hapa nisije fanywa msukule, sio kwa mansion ile khaaaah.
WamishamolaNg'wangaloka...

Mungu akuongezee Umri na afya