Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Aiseee mm siwezHahahhahahahh mie nikinuna sijifichii yani unanigundua mapema sana!!
Ooh vyema Mr
😂
Mtaani long time tu,, kilichosubiriwa ni cheti kutoka kwa wahuni tuKaribu mtaani![]()
Unajipongeza kumalizia wakati huna hata connection au cash,, nyie nyiekumekuchaaaa.
Nitengenezeee mazingira, na mie ntajiunga July mwakani.
Watu wanavyotuma status na post za kujipongeza kumaliza,
Hadi raha



Sasa Mama samia utapata kazi tu ingekua enzi za chuma (R.i.p) miaka hakuna ajira mpya unafanya kazi mpka unamuita mdogo wako akusaidieAnd officially the transformation from student to jobless is complete,, muda wa kukomenti by vayolensi nikiwa kwenye kochi naangalia tv,, kwa dada yangu daslamView attachment 2295214
Sasa Mama samia utapata kazi tu ingekua enzi za chuma (R.i.p) miaka hakuna ajira mpya unafanya kazi mpka unamuita mdogo wako akusaidie
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app




Weee ni uswazi, huo msosi buku 2 tuKwa mapedeshee, sipawezi huko.
Me parachichi tu hilo😋
Unajipongeza kumalizia wakati huna hata connection au cash,, nyie nyie![]()




kumaliza tyuuh inatoshaa.Msasani kuna uswazi? UsinitanieWeee ni uswazi, huo msosi buku 2 tu
Shangaziii naomba muhindi.Wazima humu ndani View attachment 2295241
Samahani hiyo nyeusi ni nn mkuu?!Kazi iendelee View attachment 2295242
😂😂 ndioMsasani kuna uswazi? Usinitanie