Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Si unapenda umbea ndio maana unachanganya madesa🤣🤣
Nimekumbuka kuna mtu aliweka nudes status 🤣 haya haya mambo ya kuchanganya files…

Nashangaa mtu ananipigia D njoo kwangu, naenda namkuta kawa mwekundu balaa.. namuuliza vp? Akanambia kwani hujaview status yangu?
Nikamwambia bado, ila kwakuwa nna wasap gb nitaona tu hata baadae..


Ndio akaanza kulia masikini,, namuuliza vp ? Si ndio kusema nilikuwa namtumia babe pics nimetouch vibaya zimekuja status 🤣🤣🤣
Kwanza nilicheka 😂😂😂
Pili nikamwambia omba msamaha huko status then un istall wasap, kisha vunga like nothing happened..

Ikafata kazi ya kumbembeleza 😃😃
 
Hay Dj kaweka jinginie la Harmo- DEKA, kuna pisi hapa ziimesikia "Brother acha ujinga mtoto wa kike sifa yake kuringa" zimepiga kelele balaa......ngoja nagize bucket nyingine.....


Harmo kasema sio tunatumia laki afu tunasubiri chenji😂....
 
Mlale unono wapendwa!!
Tomorrow is another day!
😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴
 
Back
Top Bottom