Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Uwiiiii ningezimia nikufwe kabisa🤣🤣

Hata sitaki kuimagine alifeel vipi maskini, hizi mambo za kuchanganya mafile sio kabisa

Mwenyew niliwah post status picha ambayo nilitakiwa nimtumie mtu, sasa nashangaa mbona hajibu na alikua online mida hiyo, nikasema nicheki labda haijaenda hee nakuta chat haina picha wee nilishtukaa😂
Bahati nzuri haikua picha mbaya
Dada mmoja alikua ana vipele kwenye matiti akawa anantumia nione nimtajie dawa akabandika status mpemba wa watu masikini
 
Maskini🤣🤣🤣
Unaweza tamani ardhi ipasuke udumbukie huko upotelee mbali sio kwa hayo maswahibu

Hizo GB wasapu sio kabisa na wanaotumia ni wakuda sana😂
Na 30% ya connection huvuja hovyo, ndiomaana unakuta watu wanajua kila detail za muhusika (hata kama ni mwanafunzi), kwasababu zipoenda viral zinangukia kwenye wamiliki wa GB tsup ambao wanawajua vizuri kabisa.

Mmoja wa aliowahi kuwa mhanga (mwanafunzi) alidai alikuwa amelewa akajikuta tu kaipost status watu wakasambaza.
 
Na 30% ya connection huvuja hovyo, ndiomaana unakuta watu wanajua kila detail za muhusika (hata kama ni mwanafunzi), kwasababu zipoenda viral zinangukia kwenye wamiliki wa GB tsup ambao wanawajua vizuri kabisa.

Mmoja wa aliowahi kuwa mhanga (mwanafunzi) alidai alikuwa amelewa akajikuta tu kaipost status watu wakasambaza.
Inasikitisha mno, inabidi kuwa makini na matumizi ya hizi simu zetu as teknolojia nayo haipotezi kitu

Mwisho wa siku lazima tu mambo yatakua hadharani + wengine wanatumia kama njia ya kujipatia hela wakijua wana mafile yako wanakublackmail
 
Pia kwa groups aisee
Unaweza ukakosea ukashare kwa groups
Mimi ndo maana magroup nimeyaweka Archive huko ..
Hivi kwa groups ukikisea ukafuta bahati mbaya mtu wa GB wasapu kwake haifutiki?

Niliwah kosea kutuma picha za bidhaa kwa group ila nikawah kuzifuta fasta na nikaomba radhi ila mtu mmoja akanifata inbox akaniambia picha zako umefuta ila bado ninazo na akanitumia...nikashangaa
 
Hivi kwa groups ukikisea ukafuta bahati mbaya mtu wa GB wasapu kwake haifutiki?

Niliwah kosea kutuma picha za bidhaa kwa group ila nikawah kuzifuta fasta na nikaomba radhi ila mtu mmoja akanifata inbox akaniambia picha zako umefuta ila bado ninazo na akanitumia...nikashangaa

Gb WhatsApp hakifutiki kitu aisee , ndo shida hiyo
Hata kwa message ukifuta yeye anaona tu. ..

Kuna muda walizifunga ilikuwa nafuu kidogo ndo hivyo itabidi tuwazoee tu hao .

Yaani siku moja nipo kwa daladala nimechoka narudi nyumbani sasa nasoma sms kwa group
Nikasinzia hapo nashangaa tayari imejituma voice note kwa group ,upepo tu na makelele ya bus .
 
Gb WhatsApp hakifutiki kitu aisee , ndo shida hiyo
Hata kwa message ukifuta yeye anaona tu. ..

Kuna muda walizifunga ilikuwa nafuu kidogo ndo hivyo itabidi tuwazoee tu hao .

Yaani siku moja nipo kwa daladala nimechoka narudi nyumbani sasa nasoma sms kwa group
Nikasinzia hapo nashangaa tayari imejituma voice note kwa group ,upepo tu na makelele ya bus .
Bora wazifunge tu maana wengine wanazitumia vibaya

Eeh pole, itakua ulichoka sana
 
Gb WhatsApp hakifutiki kitu aisee , ndo shida hiyo
Hata kwa message ukifuta yeye anaona tu. ..

Kuna muda walizifunga ilikuwa nafuu kidogo ndo hivyo itabidi tuwazoee tu hao .

Yaani siku moja nipo kwa daladala nimechoka narudi nyumbani sasa nasoma sms kwa group
Nikasinzia hapo nashangaa tayari imejituma voice note kwa group ,upepo tu na makelele ya bus .
Bora wazifunge tu maana wengine wanazitumia vibaya

Eeh pole, itakua ulichoka sana
 
Back
Top Bottom