Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pamoja na unyakanga wako ba bado ukaachwa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kukutwa Red handed kuna usalama au utetezi tena? Pale sikua na cha kufanya afu nilivyo mjinga nkaanza kutibua, daaah akili za utoto, hata msamaha sikua na mda wa kuombaa. Nilijiona mjuaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hayanaga muongozo [emoji28][emoji28]

Niliwahi kupendwa na demu mmoja mjeda,pamoja na utundu wote kuanzia kulimwaga Uno km la diamond Kwa zari hadi kumwimbia Kwa gitaa na miruzi wakati wa kugugeda lkn niliachwa[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Penzi sitolibadili kwa udi hata ubani
Penzi letu liwe tamu, tamu lishinde asali
Mpenzi usinidhulumu nipe raha za ndani zote
Ziishi moyoni mwangu milele hata milele
Ziwaudhi maadui wasopenda penzi letu
Ziwaudhi maadui wasopenda penzi letu

Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Kila kukicha natabasamu

Nina furaha kuwa na wewe
Wanipa raha bila karaha
Mimi na wewe furaha tele [emoji3059]
Mapenzi yamewakuta wenyeweeee.
 
Back
Top Bottom