Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Heeee wewe

Heeee wewe

Sahivi naogopa kufungua voice zako
😄😄😄😄😄 zina nini we mtotoSahivi naogopa kufungua voice zako
Mwanangu big up sana


Mwenye rangi pendwa
NivumilieIla ankoli huu uandishi wako unalichosha sn fuvu langu
Naona kicomment likuuubwa,kumbe ukiunganisha kuekea kulia unapata tumistari tumiwili Tu![]()
Mchana umeniaibisha😄😄😄😄😄 zina nini we mtoto
Mwanaume na pressure cooker lake 😂
🙎🙎🙎🙎 mtu analia una aibikajeMchana umeniaibisha
Vilio gani vile vya kijinger 🙃🙎🙎🙎🙎 mtu analia una aibikaje
Ndy tatizo lenu wenye maisha..Hampendi kutushirisha kwenye mbinu zenu Hadi mkafanikiwa,ili na Sisi tulambe asali
Ila nakuona kwenye nyuzi zote za magari ankoli unatoa nondo za maana..Yule jamaa wa kukataa kununua gari used za mzungu ambazo ni used from Japan sijui mlimalizana vipi ktk vita yenu,maana kila mmoja alikuwa anakaza fuvu hataki kumuelewa mwenzie![]()

🙍🙍🙍🙍 sikia hiyo siku yako itaisha na burdanVilio gani vile vya kijinger 🙃
Ahaha airpods zimepotea🙍🙍🙍🙍 sikia hiyo siku yako itaisha na burdan
hiyo auhitaji airpodsAhaha airpods zimepotea
Haya maandishiungejua usingebweka…
Kwa ufupi wako wenginachagua leo nataka fupi,ndefu,nyembamba au nene
.
Lee nakusabahi kwa bashasha


😆Haya maandishi
Usiyachukulie serious
Pole rafiki
Napenda utani kuliko kula
Uzuri Saint Anne
Kananielewaga![]()




