Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndy tatizo lenu wenye maisha..Hampendi kutushirisha kwenye mbinu zenu Hadi mkafanikiwa,ili na Sisi tulambe asali

Ila nakuona kwenye nyuzi zote za magari ankoli unatoa nondo za maana..Yule jamaa wa kukataa kununua gari used za mzungu ambazo ni used from Japan sijui mlimalizana vipi ktk vita yenu,maana kila mmoja alikuwa anakaza fuvu hataki kumuelewa mwenzie[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787]
 
Penzi sitolibadili kwa udi hata ubani
Penzi letu liwe tamu, tamu lishinde asali
Mpenzi usinidhulumu nipe raha za ndani zote
Ziishi moyoni mwangu milele hata milele
Ziwaudhi maadui wasopenda penzi letu
Ziwaudhi maadui wasopenda penzi letu

Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Kila kukicha natabasamu

Nina furaha kuwa na wewe
Wanipa raha bila karaha
Mimi na wewe furaha tele 🥰
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ungejua usingebweka…

Kwa ufupi wako wengi[emoji1787][emoji1787]nachagua leo nataka fupi,ndefu,nyembamba au nene[emoji1][emoji1].

Lee nakusabahi kwa bashasha
Haya maandishi

Usiyachukulie serious

Pole rafiki

Napenda utani kuliko kula

Uzuri Saint Anne

Kananielewaga[emoji1787][emoji2089]
 
We're far from the shallow now[emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji16][emoji16][emoji16]
IMG_20220616_151925.jpg
 
Back
Top Bottom