Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Harufu nzuri inaongeza credit.Kwa kweliiIi nami nipendwe
Harufu nzuri inaongeza credit.Kwa kweliiIi nami nipendwe
You good?Fresh vipi huko ?
Ooh vyemaAllah khayr,,
Sasa hivi nipo kawe nasogea sinza alafu kitu kikuu itakuwa m.cityKwan uko wapi wee sahivi?
Wee hupendi gari?Ila mnayapenda
Unakuja na boy wako au 😄😄😄 maana nyie hamueleweki utajidai unakuja na mmeo huku mie nipo singleFresh, wewe tu sema twende lini.
Me hata saivi niko ready
I'm okay vipi wewe ?You good?
Mimi naingia mpaka na viatu 🤣wee usiwe unaingia miguu yote, unaanza kwan mguu m1 km makitaimu, hujasoma Cuba wee?
Yanayoanzia jfMapenzi ya ki Jf yapoje?
Nakuja nae, na wewe nakuletea pisi uzuge nayo ndio usiwe mpweke 😂😂Unakuja na boy wako au 😄😄😄 maana nyie hamueleweki utajidai unakuja na mmeo huku mie nipo single
Mafuta ya nazi muhimu sanaaaUnapaka mafuta ya nazi we mtoto mchanga?
Sikuwahi kujua Hilo..Mimi nimezoea mafuta ya Nazi sipendagi harufu.Kumbe nimeachwa nyuma snHarufu nzuri inaongeza credit.
Kuna siku nilipaka nikatoka nje,, mwee kuna mtu akanambia nanukia uzaziMafuta ya nazi muhimu sanaaa
GotchaAvatar
Inavyosoma
wanawake wa humu kujikuta Beyonce hamjambo.. ila uzuri tushakubaliana na hali kwamba mie binafsi hakuna mwanamke nina muweza humu wala kummudu 😄😄😄😄 nyie ni dada zangu na mwabwana zenu ni mashemeji zanguKwahiyo huyu Nations anayevaa yebo yebo itakuwaje 😁😃
La kazi gani sasaWee hupendi gari?
