karibu rafiki,nipo hp kwa edoMzima, nakuja kudoea lunch
Sasa kama mabwana zetu ni mashemeji zako kwanini kutwa kusema mtaachana tuwanawake wa humu kujikuta Beyonce hamjambo.. ila uzuri tushakubaliana na hali kwamba mie binafsi hakuna mwanamke nina muweza humu wala kummudu ππππ nyie ni dada zangu na mwabwana zenu ni mashemeji zangu
Kuna siku nilipaka nikatoka nje,, mwee kuna mtu akanambia nanukia uzazi

Nikipaka na baby powder hapoKuna siku nilipaka nikatoka nje,, mwee kuna mtu akanambia nanukia uzazi

Makande yake sipati picha. Unakula the whole spectrum yaani








mapimbao waachie watumishii.. sie ni kupelekeana moto tuπππ sauti hutofaidi au hutaki tuimbe mapambio
mtaachana tu hivyo hivyo kwani wanwapenda sasa ππSasa kama mabwana zetu ni mashemeji zako kwanini kutwa kusema mtaachana tu
Ipo siku mtarudiana ninaaminiDiscovery niliwahi isukuma toka Dar had Chuga, afu nilikua peke yangu, yule mwamba alikua ananiamini mnoooo.
Daaaah imebaki storyyyyyy!!!!
Sasa hivi unasukuma X6 au matako yako π€£π€£π€£Discovery niliwahi isukuma toka Dar had Chuga, afu nilikua peke yangu, yule mwamba alikua ananiamini mnoooo.
Daaaah imebaki storyyyyyy!!!!
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ jamaniNikipaka na baby powder hapo
Mtoto ndo mimi![]()
Thanks bro....Nawatakia kazi njema na siku yenye baraka tele wote
Saint Anne
Depal
Nations
Mjep
Shimba ya Buyenze
Antonnia
Heaven Sent
sophy27
Rumaiya
QueenDeby
cocastic
Lenie
Christine1
Strawbella
Alayna
Na wengine wote wa jukwaa hili
myoyambendi
Katriel
Kelsea
Tinsley
hakuna kurudiana, ππIpo siku mtarudiana ninaamini
Yaani unaacha utamu????Ooh vyema
Nimeacha mie , Nina miezi miwili sasa
Asante karibu sanaUpo vizuri Sana..nimezipenda
Mkuu,me nilidhani tyr uko nae..kumbe hata kumtongoza hukuwahi? Masikini woga wangu

!!!!
Pamoja na unyakanga wako ba bado ukaachwa?? ππππDiscovery niliwahi isukuma toka Dar had Chuga, afu nilikua peke yangu, yule mwamba alikua ananiamini mnoooo.
Daaaah imebaki storyyyyyy!!!!
hahahahahahawanawake wa humu kujikuta Beyonce hamjambo.. ila uzuri tushakubaliana na hali kwamba mie binafsi hakuna mwanamke nina muweza humu wala kummudu ππππ nyie ni dada zangu na mwabwana zenu ni mashemeji zangu