Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ yan dushwaaaaa
Paap paap paap paaap paaap paaap paap

Saba za motooo

Nyie maisha haya!! Ishini tu, maana hamjui dushwaaa litakuja saa ngapi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ushajiuliza hili shogaa?
20220531_212723.jpg
 
Sis
Alirudigi na picha..
akanipa nimtafute, simuoniii
Sura pauuu..
Wote wamefanana ๐Ÿคฃ

Bro yeye alikulaga doso takatifu mpaka akatoroka, wee wasimdake stand ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ anakwambia nilikomaaa.

Ukisikiliza story zao ni raha tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ambiwa nenda sasa!!
Me kipindi kile ingekuwepo aki nisingeenda, ningesingizia tu vyovyote nisiende
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Akili za usiku hizo


Em fanya zile kazi za watu, au ushamaliza?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ acha kabisa..

Kazi zijafanya.. hata bag la PC sijalifungua tokea nimerudi.
Work from home ni ngumu aisee ๐Ÿคฃ

Kesho mapema moja unusu niko kwa fasi ya duasi.. u seriousness nautune mpaka mbili flani hivi ya 3 kasoro natoboa.
 
Msikapeleke bana, huku mtaani sidhan kama watafatilia hizo mambo.

Kumbe ni kale ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Wasije wakamharibia dimples zake
Eeh nikale.. hakataki kuteseka na kukata huto tunywele
 
Umbeya ume7bisha nisimalize kazi

Akishindwa atupe CV tumsaidiee, kambuzi kale.. na ilo ndiyo kubwa linalomuumiza anabaki kuhaha pasi na sababu.
Kakija sasa jukwaani!! Ni nyoroo nyingi
Hasiraaa 7bu kalimalizwa uchochoroni


Kalikuta file la ubongo wa nyuma limetulia
Ila hivi venye leo nimetibukwa!! Pm pasingetosha, tungejikuta tumemwagikia kwenye jukwaaa
Ubuyuuuuuuuh na mtauletaaa, tuuuh mie nausubiri mnooo.
 
Aisee kigoma ipo,nimetizama

Dogo kapangiwa Rwamkoma__mara........eeeeeh haipo siriazi,Mbinga to Musoma,halafu ni tarehe tatu atimbe...no no no
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sijapenda walivyowafanyia watoto wetu
 
Back
Top Bottom