Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,898
- 136,562
Mzee na ma broohzz wacha wakomalie niende kwq mujibu, niliteseka mnoooo.


duuuhMzee na ma broohzz wacha wakomalie niende kwq mujibu, niliteseka mnoooo.


duuuhNimemuonaaaah, nimecheka hapa,kuna anaemtaka kufanya na cuzoo wako biggie
!! umemuona??







ha-haHahahaaa.We si imezoea CCM? I ate up to cry yaani I ate.
BulomboraKambi ipi? Bulombora au kanembwa?
Mr V8 huyooooh.
Selfika imenoga fresh.![]()

mdogo wangu upo ? Bombii nyumbii waenda lini nikupe liftBulombora ndo ya makamanda nlirud kama babu wa 50Kha hiyo balaa aisee![]()
Huko sio poa kabisa
walikumfanya nini!!







jeshini kuna mambo ya ajabu sanaa, afu nikachongewa kwa afande wa kike, niliteseka. Ila yule afande alinichukia mnoo, ananambia wazi wazi ananichukia, akiniona anahisi kinyaa na anatema mate huku naona. Ameishaa huyo apambane awe Alpha coy atakula shumbwelaBulombora
🤣🤣🤣 wengine hata majivu yetu hayataonekanaTutapigwa bomu tusambaratike tubaku jivu 🤣🤣
jeshini kuna mambo ya ajabu sanaa, afu nikachongewa kwa afande wa kike, niliteseka. Ila yule afande alinichukia mnoo, ananambia wazi wazi ananichukia, akiniona anahisi kinyaa na anatema mate huku naona.
Uwiiiiiioh



Duh pole aiseeBulombora ndo ya makamanda nlirud kama babu wa 50
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Ooh pole sanajeshini kuna mambo ya ajabu sanaa, afu nikachongewa kwa afande wa kike, niliteseka. Ila yule afande alinichukia mnoo, ananambia wazi wazi ananichukia, akiniona anahisi kinyaa na anatema mate huku naona.
Uwiiiiiioh
Watakomaaaah.Haendi mtu hapa![]()
Ile sjui ni wapi ila tulkua tunaenda mabio mpaka uvinzaDuh pole aisee
Maisha ya huko sio poa kabisa
Ipo wilaya gani huko kigoma
Noumaaaaah.duuuh
Pole kipenzi cha muhimu ulitoka mzima tu!jeshini kuna mambo ya ajabu sanaa, afu nikachongewa kwa afande wa kike, niliteseka. Ila yule afande alinichukia mnoo, ananambia wazi wazi ananichukia, akiniona anahisi kinyaa na anatema mate huku naona.
Uwiiiiiioh
😅😅😅Ameishaa huyo apambane awe Alpha coy atakula shumbwela
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Kaone😂😂😂😂😂Sitaki kupitwa na umbeaaa.![]()
Ungeenda kama wewe mkemia ungekua mng'ao kikosini alafu hio platoon yako ingekula sana kazi mpaka utoe kituPole kipenzi cha muhimu ulitoka mzima tu!
Nakuonaga mayai binti! Kumbe mpaka kwata umepiga.jeshini kuna mambo ya ajabu sanaa, afu nikachongewa kwa afande wa kike, niliteseka. Ila yule afande alinichukia mnoo, ananambia wazi wazi ananichukia, akiniona anahisi kinyaa na anatema mate huku naona.
Uwiiiiiioh