Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣🤣🤣🤣 na ubaya wa kugeukana unaujua???
Haha mtawapaje watu faida humu

Ujinga wa humu… mtu anafosi kukuzoea
Anakuchota info
Mbuzi wa uswazi anakuchotaa
Akitosheka.. anapelekea mashost zake ambao ww ni kinder hampatani. Sasa jichanganyeeee

Watu wanajifanya mashost, kumbe wamekuja kwa kazi maalumu. Unaona kakuletea ubuyu/ umbea kumbe ni anakusogeza mdomoni kwa mamba

Alooooo
Nyieeee
Kuna watu wataja sutwa vibaya humuuuu

Miss Buza utapita tu hapa… nikuambie tu
Depal uwa hapanikishwiii
Wee ji rotateee hukoo 😆😆 ukichoka zimaga data utafute hela za kula.


🤣🤣🤣
Mbona Miss Buza🤣🤣🤣

Sema mshauri shoga ako awe anatandika hata kitanda basi kabla hajaingia mtandaoni na kuanza kujipost
 
Umalizie wapi wakati uko busy na ubuyu wa huku😂😂😂

Kale kaPm tatizo akili hana😂😂
Cha kumsaidia ni atafute tu kazi ya kumkeep busy ndio aache kutumika na kutegemea mwili ili atimize mahitaji yake.

Ila ulikajibu kisomi, big up kwa hilo babe👌😘
Ebu totooo zuri nyoosha maneno.. msitufiche fiche mwageni mboga na ugali badae tukatulie zanzibar 😅😅
 
Mie huko sipo baba pasta Sitaki mie!! 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 🤣😂🤣😂🤣!!
😅😅😅 haya shangazi bye
F42F77DB-C267-4576-8618-411B98C954DE.jpeg
 
Sipendi maugomvi,napenda amani,ukweli na uwazi uwekwe,,,,sio habari ya vijineno visivyo na tija kama watoto wa shule ya msingi wakiwa wanashea Vivulana vipiga kengere,

Watu wenye mioyo mibovu mambo kama haya yanaishia kutuumiza tu wallah,

Leo kitu gani sijui kilinileta hapa,,,nilishaonaga haya mambo kitambo sana na nikayakwepa nikajua kupo safe kumbe badoo.
🙂🙂 I’m soreeee

Twenzentu vituko..
 
Mbona Miss Buza🤣🤣🤣

Sema mshauri shoga ako awe anatandika hata kitanda basi kabla hajaingia mtandaoni na kuanza kujipost
😂😂😂😂 unaamkaa
Kitanda hutandiki…
Huogi…
Mbio kutumia watu PMs zisizo na kichwa wala miguu.

Sijui kula yako unaitafuta saa ngapi 😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂 unaamkaa
Kitanda hutandiki…
Huogi…
Mbio kutumia watu PMs zisizo na kichwa wala miguu.

Sijui kula yako unaitafuta saa ngapi 😂😂😂😂😂
Ebu tajeni majina, msiwe hivyooo mbivu na mbichi zijulikane msifiche fiche mambo hapaa 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom