Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,386
Na Wasukuma pia tumekaribishwa rasmi. Tushindwe wenyewe tuChuchu ya kushoto
Chuchu konzi
Nimeilewa vibaya
Ni chuchu inayoshikilia milango yote ya utam
Jimbo liko wazi kweli![]()



Na Wasukuma pia tumekaribishwa rasmi. Tushindwe wenyewe tuChuchu ya kushoto
Chuchu konzi
Nimeilewa vibaya
Ni chuchu inayoshikilia milango yote ya utam
Jimbo liko wazi kweli![]()



Mkwe adimuWote hapo mnahitaji kula ugali hevi wa Kisukuma kila siku jioni kwa miezi miwili mfululizo. Ila mmependeza sana watenda kazi shambani mwa Bwana![]()
😅😅😅 hiyo hadi tumbonj unakuwa unaiskia inakatisha mitaa flani hivii eeehWee baba pasta mie nilituma ya hivo🤔🤔🤔!!
acha bange ujue🤭😂
Mbona Miss Buza🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na ubaya wa kugeukana unaujua???
Haha mtawapaje watu faida humu
Ujinga wa humu… mtu anafosi kukuzoea
Anakuchota info
Mbuzi wa uswazi anakuchotaa
Akitosheka.. anapelekea mashost zake ambao ww ni kinder hampatani. Sasa jichanganyeeee
Watu wanajifanya mashost, kumbe wamekuja kwa kazi maalumu. Unaona kakuletea ubuyu/ umbea kumbe ni anakusogeza mdomoni kwa mamba
Alooooo
Nyieeee
Kuna watu wataja sutwa vibaya humuuuu
Miss Buza utapita tu hapa… nikuambie tu
Depal uwa hapanikishwiii
Wee ji rotateee hukoo 😆😆 ukichoka zimaga data utafute hela za kula.
🤣🤣🤣
Unajua zile mambo napendaga😍😍😋😋😋Lenie umependaaa eeh 😀😀View attachment 2245865
Ebu totooo zuri nyoosha maneno.. msitufiche fiche mwageni mboga na ugali badae tukatulie zanzibar 😅😅Umalizie wapi wakati uko busy na ubuyu wa huku😂😂😂
Kale kaPm tatizo akili hana😂😂
Cha kumsaidia ni atafute tu kazi ya kumkeep busy ndio aache kutumika na kutegemea mwili ili atimize mahitaji yake.
Ila ulikajibu kisomi, big up kwa hilo babe👌😘
Upoje 🤣🤣🤣🤣
😅😅😅 haya shangazi byeMie huko sipo baba pasta Sitaki mie!! 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 🤣😂🤣😂🤣!!
Sanaaaaa, mie na wewe tena mwili mmoja, roho moja nafis moja kama Julieth na Romeo Part 2 😅😅😅😅😅Unajua zile mambo napendaga😍😍😋😋😋
🙂🙂 I’m soreeeeSipendi maugomvi,napenda amani,ukweli na uwazi uwekwe,,,,sio habari ya vijineno visivyo na tija kama watoto wa shule ya msingi wakiwa wanashea Vivulana vipiga kengere,
Watu wenye mioyo mibovu mambo kama haya yanaishia kutuumiza tu wallah,
Leo kitu gani sijui kilinileta hapa,,,nilishaonaga haya mambo kitambo sana na nikayakwepa nikajua kupo safe kumbe badoo.
Pitia kituo cha mafuta… au uko na dumu kwa buti?Nasimama kwa ajili yako mahondaw embu nitumie hyo picha Tena View attachment 2245584
Af wewee unataka niwashiwe moto hapa😂😂Ebu totooo zuri nyoosha maneno.. msitufiche fiche mwageni mboga na ugali badae tukatulie zanzibar 😅😅
ebu kame this way ukorofi sitaki 😅😅😄😄 nitakunyima kituMbona Miss Buza🤣🤣🤣
Sema mshauri shoga ako awe anatandika hata kitanda basi kabla hajaingia mtandaoni na kuanza kujipost
😂😂😂😂 unaamkaaMbona Miss Buza🤣🤣🤣
Sema mshauri shoga ako awe anatandika hata kitanda basi kabla hajaingia mtandaoni na kuanza kujipost
Basi naacha, sirudiiii tena i promise😊😍ebu kame this way ukorofi sitaki 😅😅😄😄 nitakunyima kitu
Ebu tajeni majina, msiwe hivyooo mbivu na mbichi zijulikane msifiche fiche mambo hapaa 😅😅😅😅😂😂😂😂 unaamkaa
Kitanda hutandiki…
Huogi…
Mbio kutumia watu PMs zisizo na kichwa wala miguu.
Sijui kula yako unaitafuta saa ngapi 😂😂😂😂😂
Bana weeMbona Miss Buza🤣🤣
🤗🤗🤗🤗 wale twarukaaaa priiiii🦅🦅🦅🦅🦅Basi naacha, sirudiiii tena i promise😊😍