Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Msg zilikua zimejaa makasiriko, pole yake🤣🤣
Msg zilikua zimejaa makasiriko, pole yake🤣🤣
😂😂😂😂😂 nimecheka hadi nimehisi mbavu imefanya ‘ kweeeeeWatu wana stress za maisha shoga, we chezea kufichwa fichwa ka bangi🤣🤣🤣🤣🤣
Kula si ndio tunaitafuta huku mtandaoni, tusipopost tutapata vipi wateja jameni😁
Uwiii _King nisamehe hii ya mwisho🤭🤭🤭
Akatafute chaka la kufiaMsg zilikua zimejaa makasiriko, pole yake🤣🤣
Umeshindwa kabisaa umekubali kushindwaa 😅😅😅😅😂😂😂😂😂 nimecheka hadi nimehisi mbavu imefanya ‘ kweeeee
Ila kanataka kutupa tu dhambi!!
Mxiieeewwwww
My friend L… bye!
Nimeambiwa nitoke hapa!!
UmependezaMiss you fellazView attachment 2246011
ayaaaa umepoteza pambanoo kizembeee 😅😅😅😅😅Akatafute chaka la kufia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umbeya ume7bisha nisimalize kazi 😂😂
Akishindwa atupe CV tumsaidiee, kambuzi kale.. na ilo ndiyo kubwa linalomuumiza anabaki kuhaha pasi na sababu.
Kakija sasa jukwaani!! Ni nyoroo nyingi
Hasiraaa 7bu kalimalizwa uchochoroni 😏😏
Kalikuta file la ubongo wa nyuma limetulia 😅😂😂
Ila hivi venye leo nimetibukwa!! Pm pasingetosha, tungejikuta tumemwagikia kwenye jukwaaa 🤣😂
Hujanipeleka hapa jamani, ni nini😋😋😋Lenie unajua hii ni nini ?View attachment 2246017
Hii ni asali, pembeni, kuna tangawizi, kuna remon, kuna unga flani unajina gumu gumu yaani 🔥🔥🔥...Hujanipeleka hapa jamani, ni nini😋😋😋
Nipe connection ya anae toa mzigo kichocoroni huwa vinanoga nikajaribu bahati na mie 😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uchochoroni kunauma shoga af wenzako wababebishwa kwenye hadhara, lazima upate msongo wa mawazo.
Kame this way my Lenie ... 😍😍
Miss buza ajitokeze aje achambane asitunyime utamu.Mie natamani kumjua miss buza tu!!
Karibu tena bro. Za kupotea? Joy na mamake hawajambo?Miss you fellazView attachment 2246011