Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂 hii mpk 11 sitoboi, naibeba naenda malizia home…


Hiyo unaijua bana…. Mzizi ni zile msg zake za PM 😂😂 mwingine mie ananidakia wapi? Labda aungane na kale ka Pm

Ila wadada sisi nini shida? Huu ujinga mwisho wake wapi?
Mie kale kasakata lile soft jibu nilimpa ndio basi.. sijihusishi tenaaaaa

The shit is beyond my boundaries!! Khaaaa

Ila humu wadada wawe makini…
Wakizembea ni watagombanishwaa hatari na hao machawa wanaochawiana wenyewe kwa wenyewe…
Umalizie wapi wakati uko busy na ubuyu wa huku😂😂😂

Kale kaPm tatizo akili hana😂😂
Cha kumsaidia ni atafute tu kazi ya kumkeep busy ndio aache kutumika na kutegemea mwili ili atimize mahitaji yake.

Ila ulikajibu kisomi, big up kwa hilo babe👌😘
 
Back
Top Bottom