Bibi yule kwa kuzurura hajambo. Toka aapishwe ni mwendo wa kupishana na kunguru hewani.

Wananchi wanauliza vipi?? mbona mikoani na mashinani haendi kutizama wananchi wake wanaendeleaje?

Bibi huyu ndani ya miezi miwili tu ameshasafiri nje ya nchi zaidi ya mara ishirini. Ati anafungulia diplomasia!

Kutwa kuzurura angani na kulipisha wananchi tozo za ajabu ajabu!

Msafara mmoja unatumia zaidi ya milioni mia moja kwa masaa kadhaa tu! Jamanii hebu oneeni huruma fedha za wananchi!

Bibi Dagama hutufai! Ni heri ujiondokee hapo utupishe kusudi tupate Rais.
Mwacheni mama achapem kazi

Tutampa mitano tena, atake asitake.l
 
Mwacheni mama achapem kazi

Tutampa mitano tena, atake asitake.l
IMG_20210823_165432.jpg
 
Bibi yule kwa kuzurura hajambo. Toka aapishwe ni mwendo wa kupishana na kunguru hewani.

Wananchi wanauliza vipi?? mbona mikoani na mashinani haendi kutizama wananchi wake wanaendeleaje?

Bibi huyu ndani ya miezi miwili tu ameshasafiri nje ya nchi zaidi ya mara ishirini. Ati anafungulia diplomasia!

Kutwa kuzurura angani na kulipisha wananchi tozo za ajabu ajabu!

Msafara mmoja unatumia zaidi ya milioni mia moja kwa masaa kadhaa tu! Jamanii hebu oneeni huruma fedha za wananchi!

Bibi Dagama hutufai! Ni heri ujiondokee hapo utupishe kusudi tupate Rais.
Bibi Tozo.
 
Bibi yule kwa kuzurura hajambo. Toka aapishwe ni mwendo wa kupishana na kunguru hewani.

Wananchi wanauliza vipi?? mbona mikoani na mashinani haendi kutizama wananchi wake wanaendeleaje?

Bibi huyu ndani ya miezi miwili tu ameshasafiri nje ya nchi zaidi ya mara ishirini. Ati anafungulia diplomasia!

Kutwa kuzurura angani na kulipisha wananchi tozo za ajabu ajabu!

Msafara mmoja unatumia zaidi ya milioni mia moja kwa masaa kadhaa tu! Jamanii hebu oneeni huruma fedha za wananchi!

Bibi Dagama hutufai! Ni heri ujiondokee hapo utupishe kusudi tupate Rais.
Madam President anaufungua uchumi, hii ndiyo ilikuwa ahadi yake kubwa, kufuli na funguo za uchumi ametambua zipo nje ya nchi.
 
Madam President anaufungua uchumi, hii ndiyo ilikuwa ahadi yake kubwa, kufuli na funguo za uchumi ametambua zipo nje ya nchi.
Unashindwa kujenga nchi yako unazurura hovyo kwenye nchi za watu.

Una kila rasilimali, madini, gases, mbuga, mito, wanyama, ardhi safi, bandari kila kitu.... unataka nini?

Kuomba omba tu na kuhusudu mabeberu kama mayatima!
 
Ndugu zangu kwa wale waliokuwepo humu kwa miaka mingi, kulikuwa na uzi uliokuwa unafuatilia safari za rais Kikwete na gharama za safari zake.

Natoa wito wa menejimenti ya JamiiForums kufuatilia ziara zote, gharama na faida tunazopata kama nchi.

Ahsanteni
Safari hii tunaye mzururaji
 
Safari za Rais Samia ni kama ifuatavo
1.Uganda
2. Kenya
3.Burundi
4. Rwanda
5. Zambia
Tutaendelea kuhesabu hapo Zanzibar Ashaenda mara nne 4.
 
Unashindwa kujenga nchi yako unazurura hovyo kwenye nchi za watu.

Una kila rasilimali, madini, gases, mbuga, mito, wanyama, ardhi safi, bandari kila kitu.... unataka nini?

Kuomba omba tu na kuhusudu mabeberu kama mayatima!

Huyu bibi huyuu!! Hivi Magufuli alimuokota wapi huyu!!
Tatizo kubwa ni kwamba CCM walifanya makosa makubwa sana kupitisha majina ya watu wasiokuwa na maandalizi yoyote yale kushika uongozi wa nchi wakati wa kipindi cha awamu ya tano. Matunda yake ndiyo hasa tunayoyaona hii leo.
 
Bibi yule kwa kuzurura hajambo. Toka aapishwe ni mwendo wa kupishana na kunguru hewani.

Wananchi wanauliza vipi?? mbona mikoani na mashinani haendi kutizama wananchi wake wanaendeleaje?

Bibi huyu ndani ya miezi miwili tu ameshasafiri nje ya nchi zaidi ya mara ishirini. Ati anafungulia diplomacy!

Kutwa kuzurura angani na kulipisha wananchi tozo za ajabu ajabu!

Msafara mmoja unatumia zaidi ya milioni mia moja kwa masaa kadhaa tu! Jamanii hebu oneeni huruma fedha za wananchi!

Bibi Dagama hutufai! Ni heri ujiondokee hapo utupishe kusudi tupate Rais.
Ni afadhali atembee tu maana ukikaa kama jpm nongwa ukitembea nongwa...
 
Tatizo kubwa ni kwamba CCM walifanya makosa makubwa sana kupitisha majina ya watu wasiokuwa na maandalizi yoyote yale kushika uongozi wa nchi wakati wa kipindi cha awamu ya tano. Matunda yake ndiyo hasa tunayoyaona hii leo.
Ufipa mmeandaa mtu au ndio hao mlionao?
 
Back
Top Bottom