joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,164
- 31,748
Mzee wa Msoga alisafiri ufipa wakamwita Vasco Dagama.Magufuli alivyoacha kusafiri ilikuwa nongwa kwamba ame-disconnect Tz na dunia, Mama anasafiri ku-connect Tz na dunia inakuwa nongwa Baghosha!