Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
Kama ziara ilikuwa ya kwenda UN basi dunia nzima including Tz (Kasoro Kosovo na Vatican) ni UN, kwahiyo Rais na Mange walikuwa ndani ya sphere of influence ya UN na kwamba hakumfuata Mange US wala kukutana naye US maana ziara ya Rais haikuwa US bali UN, kwa maneno mengine ni kuwa walikuwa Tz pia maana Tz nayo iko kwenye sphere of influence ya UN (UN ina wanachama 255 wanaotengeneza sphere of influence ya UN).UN haina eneo la kijiografia, kusema US ni sahihi zaidi kisha utofautishe kwamba alienda kwenye ofisi za umoja wa mataifa (UN) zilizo katika nchi ya Marekani