Tyrone mofekeng
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 694
- 613
Hivi hajui anakwamishwa na mizimu ya kwao ya kina bashite? Kabadili jina bila ya kuwaatarifuHakuna la maana alilosema zaidi kuishia kulalama na kuwalaumu wauza unga kuwa ndio wanamkwamisha..
Hivi hajui anakwamishwa na mizimu ya kwao ya kina bashite? Kabadili jina bila ya kuwaatarifuHakuna la maana alilosema zaidi kuishia kulalama na kuwalaumu wauza unga kuwa ndio wanamkwamisha..
Angetolea ufafanuzi wapi wakati vyombo vya kufafanulia vilikua vimempiga ban!??
Katoa vyeti?Katika haya yanayoendelea na kwa kumsikiliza Bwana Makonda ni vema Ruge na Clouds media waseme ukweli..kuna mambo yana ukakasi kidogo, inaweza ikawa kweli Makonda alivamia na inaweza ikawa ni katika kile ambacho Clouds wanakifanya kila siku katika kutaka maslahi...Ruge sema ukweli tupe CCTV yote tuone ukweli...
Nimalizie tu kuwa CLOUDS TUNAOMBA CCTV YOTE NA MAELEZO YALIYOKAMILIKA..Bila hivyo mtakuwa mnatugombanisha hadhira...waiting for next episode
My conc; Tuweke unafiki pembeni kila kitu kiwekwe peupe mimi sina side katika hili natamani kujua ukweli sio rahisi kuamini hivi vitu anavyoongea Makonda na sio rahisi kumuelewa Ruge na Clouds Media...Twendeni sawa tuache matusi.
RC MAKONDA anasema anayajua mabaya mengi ya Ruge je...hakuna cha kuongea hapo as a clouds?
angeongelea wapi wakari media zilimsusia?Naona katumia miezi kutengeneza uongo. Si angetoka immediate na kuongea kilichotokea.
madawa hayo ungekuwa timamu usingeyasemaBashite kaona siku ya leo isiishe bure kila KUJIDHALILISHA..
Ndio alivyoshauriwa na Le Mutuz aje aongee huo upupu Daudi Mchambuzi.
Ndio maana nimesema mkuu huyu kijana mwenzetu anavijitabia vya dharauYeye ndo amefanya sisi tukabaki na upande mmoja, kwann hakutoka mapema au ndo hapangiwi, sasa amejipanga! anyway hizi ni series tu hop mengi bado atujayaona! tutaendelea kushikiwa akil zetu coz tumekubal wenyew! U'll say im politician, bt Y bashte alikataa wito au angefanya press yake akasema ukwel. so unluck to b in t.z
Sungura amchunguze Fisi?Akupe CCTV yote wewe ni nani?! Moja ya maazimio ya Jukwaa la Wahariri ilikuwa ni kuwaambia polisi wachunguze kiundani tukio lile!! Sasa kwanini usiwaulize hao polisi ikiwa walichunguza au hapana?!
Siyo kidogo yeye na huyu wa Arusha.Ndio maana nimesema mkuu huyu kijana mwenzetu anavijitabia vya dharau
Tuwe tuna sikiliza kwamakini tuache kusikiliza kwa mihemko. Makobda alisema alikuwa kwenye mkutano na waziri wa tamisemi. Je ulitaka amsikilize afisa wake aliekwenda bila taarifa au Waziri wake??Kwanini alitokea mlango wa uwani tume ilipomfuata?
mmerudi mnataka kumsafisha Daudi, aandaeni madodoki ya kutosha.
Samahani kama nitakua nimekukwaza.Ila nahisi Kama kuna jambo flani kubwa linataka kutokea au limetokea sasa akili za watu zinahamishiwa ktk sakata la makonda ili hilo jambo watz wasilifuatilie maana Gwajima hatakaa kimya,ruge hatakaa kimya,Mengi hatakaa kimya,kwan wote hao Leo makonda kawataja,sasa wakat hawa watu wakijibu alioongea makonda hatutakumbuka jingine lolote!
kweli, ndomana tunajiuliza kwann,! daah tuyaache haya mkuuNdio maana nimesema mkuu huyu kijana mwenzetu anavijitabia vya dharau