Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

Magufuli alikufufa kwa magonjwa mtambuka na kiburi chake dhidi ya kuvaa mask kujikinga na COVID-19
Nenda mitandaoni uone video clip za Magu zinavyotrend akiwa kaburini mmejaribu kufuta Legacy yake mmeshindwa na lawama zote za uongozi anatupiwa kahaba wenu.. endelea na uchawa tu wewe KILAMBA MAV wa Mama.
 
nyie jamaa bana, majuzi mulitwambie Kikwete, leo hafla mumetubadilishia gia munatwambia Rostam
 
Richmond, Dowans na Symbion ni mali ya mtu mmoja yule yule The King Maker KM- RA.

Tozo ya Simbion ilikuwa dola milioni 350 wakakubali kulipwa nusu dola milioni 175 .

Blaza alipochomoka jamaa akamvaa Mama na kumuimbisha, Mama akaingizwa kingi, zikalipwa US 385 million!.

Jamaa akainunua Petra Diamonds na ndiye anayedhaniwa kuwa mfadhili wa Royal Tour.

Na sasa RA ndo anaiendesha serikali ya Malawi hapo kwa 100%

Huyu huyu RA baada ya kaka Fulan wa Upinzani kuanza kuingilia masuala ya Makaa ya stone akapiga simu muda huo huo

Kwa Marco Chilya kwamba kijana awekwe ndani na hakujua chaji ipi apewe kwa muda huo hadi walipowasiliana zaidi kupitia namba 071500...56,

Lissu yuko ndani kwa maelezo ya Rostam mkuu wa kaya kwa kuwa wameingilia ugali wao.

Hii ya makaa ya Mawe kupitia sasa kwa Athumani Kilatimi wa Lindi amepewa jukumu la kumsaka Humphrey Polepole !!

Baadae naendelea hii ni 1/100 hints za Uzi ujao
KATAA WAHUNI, OKOA TANGANYIKA.✍️📌
 
Kwahy hyo Rostam ndiye yule mwenye mfuko mpana ambaye aliwahi kuzungumziwa na Mwl?
 
Haya mambo kama ni ya kweli.....yaandikiwe vitabu. Ili watoto na wajukuu zetu waelewe nini kimetufikisha hapa
 
Wanasiasa wengi wa Tanzania hawajui mambo mengi kwenye uhalisia zaidi ya maneno ya juu juu ambayo mwisho wa siku yanaleta taharuki kubwa kwenye jamii na mifarakano.

mmiliki wa Ruvuma Coal sio RA na RA hana uhusiano wowote na Ruvuma Coal.
Ruvuma Coal ndio large producer wa coal Kwa sasa, hata hayo malori yanayokwenda Mtwara port 70% ni Ruvuma Coal.

Soko la Makaa ya mawe duniani ni unpredictable maana Dunia inakwenda kwenye green energy na coal huwa inapollute mazingira, ndio investment zake huwa ni kitendawili maana hata Bei Iko chini vs cost/tone production.
Nje ya Europe ambako ndio Kuna bei nzuri na ambao pia wanatoka kwenye matumizi ya coal, wanunuzi wengine ni China, India, Pakistan nk ambako bei ni changamoto sana lakini na wenyewe wanatoka huko.

Coal kwasasa sio sustainable business unless una order tayari mkononi ya volume ya kutosha kama ambavyo Ruvuma Coal alivyo kwa sasa..

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudan
Unajaribu kumpotosha nani? Rostam ameuziwa Tan Coal na siyo Ruvuma Coal.

Tan Coal ndio mgodi mkubwa wa makaa ya mawe wenye PIT 9 ukifuatiwa na mgodi wa Ccm unaomilikiwa kupitia kampuni ya Ccm ya Jitegemee holdings co, Ltd wenye PIT 7.

Usilete mambo ya kishoga kwenye maslahi ya Taifa.

Hao Ruvuma Coal mine wapo Amani makolo kabla ya Paradise unakata kushoto wala siyo subject hapa.
 
Kumekuchaaaaa!!
Kikwete ni Karani wa Rostam, Rostam anafanana na Mhindi mmoja South Africa Gupta, unaposikia scandal kubwakubwa South Africa basi Gupta lazima awe nyuma ya camera.

Tanzania Rostam Aziz, huyu alikuwa amehibernate tu, sasa amerestart software katika version za kisasa zaidi.
 
nguvu zake anazipatia kuzimu. mwisho wake hauko mbali. Nguvu za shetani ni za muda tu. Baadaye ni aibu ya milele
Tumsifu Yesu Kristu mtumishi...samahan leo nimekunywa pombe na akili yangu ya kipombe inaniambia haya leo, kua wale wooooote walioopteaa na hawajulikani.walipo ni Kuna mawili, walikua ni project ya mtandao kumchafua Marehem jpm ila serikali yake ikawashuhulikia ama waliuliwa na mtandao ili kumchafua jpm zaidi na walivyoona haijasaidia sana wakaamua waingie wenyewe fronti...
 
Unajaribu kumpotosha nani? Rostam ameuziwa Tan Coal na siyo Ruvuma Coal.

Tan Coal ndio mgodi mkubwa wa makaa ya mawe wenye PIT 9 ukifuatiwa na mgodi wa Ccm unaomilikiwa kupitia kampuni ya Ccm ya Jitegemee holdings co, Ltd wenye PIT 7.

Usilete mambo ya kishoga kwenye maslahi ya Taifa.

Hao Ruvuma Coal mine wapo Amani makolo kabla ya Paradise unakata kushoto wala siyo subject hapa.

Sidhani kama kuna mahala nimesema Ruvuma coal inamilikiwa na RA..
Tunachozungumzia hapa ni Tancoal, Ruvuma coal imetajwa kama largest coal producer kwa sasa, tena ni zaidi ya miaka mitatu sasa, RA -Taifa mining hawana hata 2yrs toka wameuchukua huo mgodi.

Mzarishaji mkubwa kwa sasa wa makaa ya mawe Tanzania ni Ruvuma Coal.
No of pits haiwezi kuwa ndio factors ya largest production, unapozungumzia production unazungumzia vitu vingi.
Na sijui hizo ulizosema no of pits kama unaelew a Ina maana gani kwenye coal mine za pale Songea?.

Huo mgodi wa Tancoal ulikuwa umesimamisha uzarishaji siku nyingi sana na toka umeanza sidhani kama hata una miaka miwili.
Ukiwa umesimama uzarishaji ni Ruvuma coal aliyekuwa ana mine, Jitegemee na jamaa wa Milicoal..

Siongelei nadharia nazungumzia jambo ninalolijua kwa 100% kama mdau na sio mkazi wa Dar es salaam anayesikia hadithi tu.

Siko hapa kumtetea mtu, najaribu kuweka sawa taarifa ambazo haziko sahihi, kama wewe unavyotuambia mzarishaji mkubwa wa makaa kwa sasa ni Tancoal ilihali uhalisia sio hivyo yaani sio kweli, Kwa hiyo ukidanganya kama hivi tukukubalie na kukupigia makofi na kukuita shujaa.

Safarini Hodeidah Yemen
 
Sidhani kama kuna mahala nimesema Ruvuma coal inamilikiwa na RA..
Tunachozungumzia hapa ni Tancoal, Ruvuma coal imetajwa kama largest coal producer kwa sasa, tena ni zaidi ya miaka mitatu sasa, RA -Taifa mining hawana hata 2yrs toka wameuchukua huo mgodi.

Mzarishaji mkubwa kwa sasa wa makaa ya mawe Tanzania ni Ruvuma Coal.
No of pits haiwezi kuwa ndio factors ya largest production, unapozungumzia production unazungumzia vitu vingi.
Na sijui hizo ulizosema no of pits kama unaelew a Ina maana gani kwenye coal mine za pale Songea?.

Huo mgodi wa Tancoal ulikuwa umesimamisha uzarishaji siku nyingi sana na toka umeanza sidhani kama hata una miaka miwili.
Ukiwa umesimama uzarishaji ni Ruvuma coal aliyekuwa ana mine, Jitegemee na jamaa wa Milicoal..

Siongelei nadharia nazungumzia jambo ninalolijua kwa 100% kama mdau na sio mkazi wa Dar es salaam anayesikia hadithi tu.

Siko hapa kumtetea mtu, najaribu kuweka sawa taarifa ambazo haziko sahihi, kama wewe unavyotuambia mzarishaji mkubwa wa makaa kwa sasa ni Tancoal ilihali uhalisia sio hivyo yaani sio kweli, Kwa hiyo ukidanganya kama hivi tukukubalie na kukupigia makofi na kukuita shujaa.

Safarini Hodeidah Yemen
Huwezi kupotosha vitu hapa ukategemea watu wenye akili watakaa kimya.

Millcoal ndil wanazalisha mkaa first class ambao kimsingi soko lake siyo zuri ni mkaa mkali sana.

Taifa gas wana zaidi ya miaka 3 wanafanya oparesheni zao hapo Ruanda na PIT 9 kwenye mining ni factor labda utueleze Ruvuma mining wana PIT ngapi.

Ukienda Makolo kwenye sales Point napo bado siyo factor Millcoal wana mkaa mwingi mgodini ambao wamechimba na hawaupeleka sales Point.

Unachojaribu kutetea wewe hapa huwezi kufanikiwa hawa watu ni kundi la wahujumu uchumi tu.

Hao Ccm wanamiliki PIT 7 waliupata huo mgodi kwa njia zipi?

Halafu acha kusema sijui haupo Dar kwamba upo Ruvuma ndio unajuwa sana, kujuwa New York ni Marekani si kwa waliopo Marekani tu, bali kwa waelewa wa mambo.
 
Banana republic katika UBORA WAKE!
YANA MWISHO HAYA!
 
Huwezi kupotosha vitu hapa ukategemea watu wenye akili watakaa kimya.

Millcoal ndil wanazalisha mkaa first class ambao kimsingi soko lake siyo zuri ni mkaa mkali sana.

Taifa gas wana zaidi ya miaka 3 wanafanya oparesheni zao hapo Ruanda na PIT 9 kwenye mining ni factor labda utueleze Ruvuma mining wana PIT ngapi.

Ukienda Makolo kwenye sales Point napo bado siyo factor Millcoal wana mkaa mwingi mgodini ambao wamechimba na hawaupeleka sales Point.

Unachojaribu kutetea wewe hapa huwezi kufanikiwa hawa watu ni kundi la wahujumu uchumi tu.

Hao Ccm wanamiliki PIT 7 waliupata huo mgodi kwa njia zipi?

Halafu acha kusema sijui haupo Dar kwamba upo Ruvuma ndio unajuwa sana, kujuwa New York ni Marekani si kwa waliopo Marekani tu, bali kwa waelewa wa mambo.

Isiwe tabu niambie sasa, nani largest producer wa makaa ya mawe kwa sasa?…..

safarini Hodeidah Yemen
 
Isiwe tabu niambie sasa, nani largest producer wa makaa ya mawe kwa sasa?…..

safarini Hodeidah Yemen
Quote yangu ya kwanza nimenyoosha mstari usipotoshe watu hapa, hayo mengine utajuwa mwenyewe.

Halafu kwa taarifa yako katika migodi inayotafutwa hot cake na wawekezaji ni coal mining, kitu ambacho sokoni hakifanyi vizuri hakuwezi kuliliwa na investors.

South Africa wana migodi yao ya makaa ya mawe lakini bado wanahitaji mkaa kutoka nje ya nchi yao.
 
Tumsifu Yesu Kristu mtumishi...samahan leo nimekunywa pombe na akili yangu ya kipombe inaniambia haya leo, kua wale wooooote walioopteaa na hawajulikani.walipo ni Kuna mawili, walikua ni project ya mtandao kumchafua Marehem jpm ila serikali yake ikawashuhulikia ama waliuliwa na mtandao ili kumchafua jpm zaidi na walivyoona haijasaidia sana wakaamua waingie wenyewe fronti...
Milele Amina. Ya jpm yaache, sasa tuko na kazi ya kudili na wahuni waliomteka Rais wetu
 
Back
Top Bottom