Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

Alieamrisha cctv zitolewe ni nani kwamba cctv zinazuia watu kufanya uhalifu kwamba wataonekana? Mtu akivaa uhusika bandia akavaa vinyago utamjuwa. Lengo lilikuwa lis auwawe watu waingie barabarani jpem achafuke zaid apewe shutuma liwekwe shinikizo atolewe
 
Nchi inahitaji uongozi ulio bora, ukisolve hili utakuwa umesolve matatizo yooote ya Tanzania.

Uongozi Bora hauji bure bure unakuja na sacrifice kubwa ya damu, hii huja automatically nchi ikiwa na hao watu bora nje au ndani ya mfumo.

Mzee tuliza munkari, Oligarchs wapo kila Taifa duniani na wengi wanaoperate na dola.
Nguvu ya Oligarchs ndio inarun Dunia.
Yake mabwanyenye pale Manhattan ndio USA na ndio yanaamua mustakabari wa USA na kufinance ujinga wote.

Big Tycoon woote in Arabs world ni from rulers family, kitu kizuri wametengenezea watu maisha mazuri lakini ukigusa tu mfumo wao wa utawala, unakufa.

Ndio maana Oligarchs wa Russia walipigwa vikwazo maana walionekana ndio nguvu ya Putin ilipo, Oligarchs wengi wa Russia are made by the state.

In dark world we say, "if you want to win beat the system". Ndio maana unaona matycoon wote duniani wanadeal na Serikali.

Shida ya Oligarchs wa Tanzania, hawawezi kula na vipofu, wameshindwa kuwaondolea watu umasikini na kuwafanya waishi vizuri, wangefanikiwa katika hili hakuna ambaye angewasumbua.

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani.

Nakuelewa sana mkuu na ni kwamba umeongezea uzito tu wa hoja niliyotoa, kwamba wafanyabiashara/wajasiriamali wanaitwa na wanasiasa/watawala waliowekwa na wananchi (assuming) then wanatengenezwa kuwa oligarchs kwa parcent chache za kukickback kwa watawala, so hata ungekuwa wewe umeitwa kwenye sinia la pilau ili utoe visource kadhaa kwa mlango wa nyuma ungechukua mzigo utajirike na kukana imani yako whether ni mkristo, muisllamu, buddha, mkomunisti, mliberali au wa imani ingine yoyote,

Imani za binadamu zinaundwa kwa lengo la kufika tunapotarajia, so ikitokea utaamini imani yako au maombi yako yamekupa muujiza wa kuitwa sahani kuu na maisha yanaanza upya, the same to rostam, simsupport though!
 
Hakuna serikali ya wasafi kwa asilimia 100 duniani, haipo hata moja. Roma inayoongozwa na Papa ina ufisadi sembuse Tanzania!.

Katikati ya vita za kupambana na ufisadi yapo mengi chanya yanayofanyika kila kukicha.
Yapi hayo yanayofanyika, embu tutajie.

Ufisadi upo kila sehemu lkn kuna watu wana-pay the price, wewe tangu kuzaliwa kwako uliishawahi kuona fisadi yoyote Tz kashughurikiwa, nani?

Ufisadi unaimbwa miaka nenda rudi, CAG wote wanalalamika kila mwaka, uliishawahi ona kuna kitu kinafanyika??
 
Dah nlikuwa nasoma part two mara papaaa umefutwa sijui kuna shida gani🙋
 
Nakuelewa sana mkuu na ni kwamba umeongezea uzito tu wa hoja niliyotoa, kwamba wafanyabiashara/wajasiriamali wanaitwa na wanasiasa/watawala waliowekwa na wananchi (assuming) then wanatengenezwa kuwa oligarchs kwa parcent chache za kukickback kwa watawala, so hata ungekuwa wewe umeitwa kwenye sinia la pilau ili utoe visource kadhaa kwa mlango wa nyuma ungechukua mzigo utajirike na kukana imani yako whether ni mkristo, muisllamu, buddha, mkomunisti, mliberali au wa imani ingine yoyote,

Imani za binadamu zinaundwa kwa lengo la kufika tunapotarajia, so ikitokea utaamini imani yako au maombi yako yamekupa muujiza wa kuitwa sahani kuu na maisha yanaanza upya, the same to rostam, simsupport though!

Hamna lolote.

Mafisadi serikalini wanatumia "wafanyabiashara" kufront wizi wao. It is not about kickbacks -- its is about hiding the absolute illegality of it all.

Hawawezi biashara, hawawezi siasa.

Karaha tupu.
 
Yapi hayo yanayofanyika, embu tutajie.
Ufisadi upo kila sehemu lkn kuna watu wana-pay the price, wewe tangu kuzaliwa kwako uliishawahi kuona fisadi yoyote Tz kashughurikiwa, nani??
Ufisadi unaimbwa miaka nenda rudi, CAG wote wanalalamika kila mwaka, uliishawahi ona kuna kitu kinafanyika??
Mkuu mengi sana yanafanyika, tembea mkoa mzima wa Pwani uone viwanda vinavyojengwa kila kukicha.

Hiyo SGR inakwenda kufungua mamilioni ya fursa katika mikoa yote inamopita kuanzia hapo Dar mpaka kule kanda ya ziwa.

Kushughulikiwa mafisadi kupo pia, wanafungwa wengi tu wanaojichanganya katika kuiba mali za umma. Marehemu Basil Mramba na Daniel Yona walifungwa jela baada ya ushahidi kupatikana. Mhindi mmoja aliyekuwa anachora mchoro wa wizi na wataalam wa sekta ya pesa alifungwa wakati wa JPM.

Uwezo wao kipesa unawatoa vifungoni hili tatizo la dunia nzima. Mwenye pesa anafanya analotaka, hata Donald Trump wanasema ule ushindi ulitengenezwa sio kwamba anapendwa sana na wamarekani, wenye pesa wanataka ya kwao yanyooke wakampiga chini mwanamama.
 
Back
Top Bottom