Spika apiga marufuku mjadala wa Pinda
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Bw. Pandu Ameir Kificho, amepiga marufuku mjadala uliozuka katika Baraza la Wawakilishi ukipinga kauli ya Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, kwamba Zanzibar si nchi.
Bw. Kificho alisema suala hilo kwa sasa linashughulikiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano, kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, ambayo tayari imetoa maelekezo katika kulipatia ufumbuzi tatizo hilo.
"Wajumbe wa Baraza, kuanzia sasa napiga marufuku mjadala uliozuka kwamba Zanzibar si nchi au ni nchi ... suala hili kwa sasa linashughulikia na Ofisi ya Waziri Mkuu," alisema Bw. Kificho.
Alisema tayari Waziri Mkuu ametoa maelekezo na kuwataka wanasheria wakuu wawili kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kutoka Zanzibar kukutana na kulipatia ufumbuzi tatizo hilo, ambalo linatokana na tafsiri ya Katiba.
Bw. Kificho alikuja juu baada ya mjadala huo ambao uliibuliwa na Bw. Pinda Dodoma baada ya kuulizwa swali na Mbunge wa Chwaka, Bw. Yahya Kassim Issa, aliyeuliza kama Zanzibar ni nchi kamili na kuzusha malumbano katika chombo hicho.
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi walianzisha tena mjadala huo katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, ambapo Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba pamoja na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, kusisitiza kwamba Zanzibar ni nchi kamili.
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, Bw. Mzee Ali Ussi, alimtaka Waziri Mkuu Pinda, kuliandikia barua Baraza la Wawakilishi na si kuwataka Wanasheria Wakuu wa Zanzibar na wa Muungano kukutana.
Bw. Kificho alitumia nasaha hizo kwa lengo la kupunguza kasi na munkari ya wajumbe wa Baraza ambao walionesha wazi kukasirishwa na kauli ya Bw. Pinda.
Kauli ya Waziri Mkuu Pinda kwamba Zanzibar si nchi imezusha mtafaruku mkubwa kwa wananchi wengi wa kawaida wa Unguja na Pemba ambao wameelezea hofu yao sasa ya kumezwa na Bara.
Tuma kwa Rafik
kesi Ya Mtikila Dhidi Ya Mwanahalisi Ni Namba 55.
Kesi Ya Rostam Dhidi Ya Mwanahalisi Ni Namba 54.
Kesi Ya Mtikila Dhidi Ya Tanzania Daima Ni Namba 57.
Kesi Hizi Zimefunguliwa Mwaka Huu Mwezi April ,kumbuka Huyu Mchungaji Alipewa Fedha Muda Na Siku Hizo Hizo.
Nawatakia Tafakuri Ya Kina.
kaaz kweli kweli
lakini si alipokea hela??? haijalishi kakopa au kamfisadisha ila cha msingi kapokea mijisenti and he's at it... let him face it
Kwanza cha msingi tungenza na Rostam na habari yake ya kufoji, ya mtikila baadae, tufocus theme ya post
Kitendo cha Rostam Kugushi stakabadhi ya malipo aliyoyafanya kwa mchungaji Mtikila akiwa katika harakati za kujisafisha ni jambo baya na ni mbinu chafu za kifisadi.
Ikiwa ameweza kuforge stakabadhi tu ili kuhalalisha kile anacjhokotaka vipi kuhusu mambo mengine mazito.
Kauli ya mtikila tusiibeze na kutoifanyia kazi. "Rostam ameghushi stakabadhi"
Mchungaji afadhali akae kimya tuu, huyu jamaa anadai yeye na RA ni marafiki wa siku nyingi, sasa labda hizi million tatu ni zile zilizo kwenye payment voucher pekee, labda kuna zilizo tolewa na RA kwenda kwa mchungaji bila maandishi, kama alichukua million tatu kwa maandishi na kwa mkopo inatia shaka kama hajawahi kuchua nyingine bila maandishi, huyu bwana mchungaji miaka mitano sita iliyopita aliingia ofisini kwetu hapa mitaa ya posta mpya akaanza kumuomba accountant wetu mwenya asili ya kihindi kama RA kiasi cha shiling 20,000 anunulie airtime ya mobile phone yake, accountant wetu alikataa akamwambia hakuna fungu lolote atakalotoa hiyo sh 20,000 kila pesa inayotoka nje lazima iwe accountable, mchungaji alikasirika sana nakuanza kuongea manenoi kama " na ngojeni nichukue nchi nyie magabacholi, watu wenye echunguy na nchii hamuwaoni" accountant akaona sasa hii imekuwa tabu, ikabidi ampatie sh 10,000 kutoka mfukoni kwake, and mind you mchumgaji alikuwa hafahamiani na mtu yeyote pale ofisini...sasa itakuwa swahiba wake rostam, nchungaji kama na wewe unahudhuria jamvi hili la JF nakushauri ukae kimya au utoe ushahidi dume dhidi ya swahiba wako RA
Kwa hiyo lilikuwa jambo jema kwake kuitisha Press Conference Jumapili iliyopita na kujieleza. Japo waandishi hawakumbana kweli kweli kwa maswali mazito kama vile ya kumtaka aeleze ni vipi watu ambao wako karibu na yeye kimahusiano walimtaja katika ripoti ya Kamati ya Dk. Mwakyembe kuwa ana mahusiano na kampuni ya Richmond n.k, mwanga kidogo umepatikana.
Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo na tuhuma za ufisadi dhidi ya uongozi wa Usharika huo, na mwezi uliopita tu ulisambazwa waraka wa wanakwaya kwa washarika uliotumwa kwa uongozi wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani ambao uliorodhesha tuhuma mbalimbali za ufisadi unaoendeshwa na uongozi wa Usharika.
Utasikia Baba Mchungaji akiwahamasisha washarika wake kuleta mavuno kwa kusema: "Leteni kila kitu na tutakibariki kwa jina la Yesu. Leteni mavuno yenu yanayotokana na biashara zenu na tutayabariki. Haijalishi kama pesa zako zinatokana na biashara ya baa au ukahaba. Ukishazileta hapa tunazibariki madhabahuni katika Jina la Yesu, na zinakuwa safi! Bwana Asifiwe!"
Nasikia katika kanisa moja mtuhumiwa wa ujambazi naye ni mzee wa kanisa kwa kisingizio kuwa "ameokoka", lakini inadaiwa bado hajaacha shughuli yake hiyo ya zamani.
Kuhusu makanisa mimi nilishasema hapa,
With churches like these, unaweza kuwalaumu wasiotaka kwenda kanisani?
Mbwambo anawatosa "waandishi" kwa kutokuuliza maswali magumu kama yeye si muandishi, kwa nini wewe hukuuliza?
Hata hutuambii kwamba ulijitahidi kuuliza lakini hukupewa nafasi, hukuwapo mjini, ulikuwa unaumwa, ulikuwa na majukumu mengine, au ilikuwaje ukashindwa kuwapo kuuliza maswali yako.
Kaandika hivyo, kaona sawa na mhariri kapitia, kachapisha!
Kutuambia tu kuwa kuna tuhuma za ufisadi bila hata ya kutaja in passing tuhuma zinahusisha nini hakutusaidii sana na vile vile kunaweza kushusha credibility yako.Je unazijua tuhuma? Kama unazijua zitaje, kama huzijui usiseme chochote kuhusu tuhuma ambazo huzijui kwani utakuwa more of story za kijiweni than journalistic reporting.
Kesi ya Mtikila dhidi ya mwanahalisi ni namba 55.
Kesi ya Rostam dhidi ya Mwanahalisi ni namba 54.
Kesi ya Mtikila dhidi ya Tanzania Daima ni namba 57.
Kesi hizi zimefunguliwa mwaka huu mwezi April ,kumbuka huyu mchungaji alipewa fedha muda na siku hizo hizo.
Nawatakia tafakuri ya kina.
kaaz kweli kweli
lakini si alipokea hela??? haijalishi kakopa au kamfisadisha ila cha msingi kapokea mijisenti and he's at it... let him face it
hii nchi inavyoendeshwa ni kama vile story ya tamthilia, coz ukitoka part hii unakwenda hii, ukitoka hii unnakwenda ile, mara EPA mara richmond, mala balali, mala uchawi bungeni, mala wangwe mala rostam na mtikiila...mwisho wa siku wadanganyika wanashindwa waamini lipi waache lipi coz wameshabuluzwa vya kutosha na hawajui hata waanzie wapi
...'baniani mbaya kiatu chake dawa!',
...nikikumbuka wananchi waliojaa mori baada ya Mheshimiwa kabisa Mchungaji Christipher Mtikila kutamka hadharani ubaya wa Magabacholi, kumbe ni katika njia za 'kula na vipofu'
'Do what i say, but don't do what i do!"~ songs-of-songs
...wanasiasa wetu ndivyo walivyo!